Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Ooohhhh okay, thanks

Ni mbinu nzuri ya biashara sema waswahili hatujui tu.

Hata magari unakuta Toyota. Anaotengeneza vioo wengine,matairi wengine,viti wengine
gearbox wengine na kadhalika, yeye anatengeneza kitu kimoja au viwili anaunga tu.

Ukijaribu fanya kila kitu unapoteza nguvu sana na mda na quality inakuwa sio ya uhakika.

Mwenzio akitengeneza mashati, wewe tengeneza vifungo, kila mtu anatazama quality ya bidhaa yake
 
1. Inategemeana na location,location nyingine zinaweza kukugharimu pesa nyingi zaidi ya hiyo.

Je, eneo ni lako au utakodi/kua mpangaji wa eneo la mtu?
Je, hilo eneo liko tayari kwa biashara au bado na litahitaji ukarabati kuliweka liendane na mazingira ya mgahawa?
Je, samani zipo tayari au unahitaji kununua mpya zako?

Hayo maswali machache yatatoa majibu kama hiyo 5m inatosha au la.

2. Manager inatgemeana, unataka ufanye biashara wewe mwenyew au umkodishe mtu awe anakulipa wewe daily?
Kama unatoa wewe mtaji kwa kuanzia muweke mtu unaemuamini kiasi ili awe anakusanya wewe jioni unapokea makusanyo unatoa matumizi na kufanya manunuzi kisha unatenga faida.

Au unaweza kumpa mtaji ukampa malengo ya pesa atakayokua anakulipa kila siku kwa hiyo anakua na ka semi autonomous kial kitu anafanya yeye,yaani kama daladala,bosi unachotaka ni mahesabu yako tu.

3. Inategemeana na ukubwa wa eneo na idadi ya wateja,kukiwa na influx ya wateja lazima uwe na idadi kubwa ya wafanyakazi kuendana na mahitaji mteja asifike akakaa dakika 5 hajasikilizwa wala kupewa huduma.

Maswali mengine yanategemea na maelezo yangu hapo juu.

Kua na mgahawa mzuri ni pamoja na kua na wapishi wazuri,uwe wa pekee na chakula chako kiwe na ladha ya pekee,biashara ya mgahawa inahitaji sana kujitofautisha, usinunue chakula ukauza,pika mwenyewe.

Nunua vitu kama vitumbua,mandazihalf cake,donalti,chapati pika mwenyewe au uwe unanunua kwa mpishi yule yule kila siku. Nyama na chakula kingine kama wali,ugali,sammaki,supu ya kuku uwe na wapishi wako mwenyewe.

Nunua samani za kisasa nzuri,viti vya kili na pepsi na koka achana navyo, nenda cello pale keko kuna viti vizuri na vya kisasa vitakavyokufanya uonekane wa tofauti.

Zingatia usafi,huduma nzuri kwa wateja,kauli nzuri,chakula kiwe tayari kwa wakati,sio sa 6 ndio wanabadnika sufuria la ugali na wali bado hujaiva,sa mbili chai bado utaishia kwenda kwa waganga na mwisho utafilisika.
Sahan, vifaa vyingene kwa ujumla bado.

Na sehemu ya biashara ni ya kukodi bajet yake imo umo umo kwenye m5.

Chief manager nataka kuwa mie mwenyewe. Ila itabidi nitafute ndugu kutokana na kukubali ushauri wa mdau mmoja apo juu.^

Nashukuru kwa mchango wako nimeupenda na kwa hakika nitayachanganua na kuyachuka yatakayo nifaa na kuyafanyia kazi.
 
Ni mbinu nzuri ya biashara sema waswahili hatujui tu
hata magari unakuta Toyota, wanaotengeneza vioo wengine, matairi wengine, viti wengine
gearbox wengine na kadhalika...yeye anatengeneza kitu kimoja au viwili anaunga tu.

Ukijaribu fanya kila kitu unapoteza nguvu sana na mda na quality inakuwa sio ya uhakika.

Mwenzio akitengeneza mashati...wewe tengeneza vifungo ..kila mtu anatazama quality ya bidhaa yake

Okay katika biashara hiyo, vitafunwa vinanunuliwa afu msosi unapikwa hapo hapo kweli inasave muda
 
Okay katika biashara hiyo, vitafunwa vinanunuliwa afu msosi unapikwa hapo hapo kweli inasave muda

That is the magic of doing a manufacturing business na hyo biashara ya restaurant ina nature hyo. Ni mbinu nzuri when ur trying to break in cz bado hauko stable. U can't do everything on ur own. Baadae sasa umeshaimarika na kujua ukuaji wa biashara yako, una tumia material zako mwenyewe una hire watu wafanye kazi kwa makubaliano flan in the long run uta reduce costs na risks pia.

Unaweza tumia vikundi vdgo vdgo vya wajasiriamali wadogo uka combine nguvu na maarifa yao wit ur capital uka run bonge moja la entreprise hence win/win to everyone kuliko ukianza from scratch.
 
That is the magic of doing a manufacturing business....na hyo biashara ya restaurant ina nature hyo. Ni mbinu nzuri when ur trying to break in cz bado hauko stable. U can't do everything on ur own. Baadae sasa umeshaimarika na kujua ukuaji wa biashara yako....una tumia material zako mwenyewe una hire watu wafanye kazi kwa makubaliano flan in the long run uta reduce costs na risks pia.

Unaweza tumia vikundi vdgo vdgo vya wajasiriamali wadogo..uka combine nguvu na maarifa yao wit ur capital uka run bonge moja la entreprise hence win/win to everyone kuliko ukianza from scratch.

I got it thanks
 
That is the magic of doing a manufacturing business....na hyo biashara ya restaurant ina nature hyo. Ni mbinu nzuri when ur trying to break in cz bado hauko stable. U can't do everything on ur own. Baadae sasa umeshaimarika na kujua ukuaji wa biashara yako....una tumia material zako mwenyewe una hire watu wafanye kazi kwa makubaliano flan in the long run uta reduce costs na risks pia.

Unaweza tumia vikundi vdgo vdgo vya wajasiriamali wadogo..uka combine nguvu na maarifa yao wit ur capital uka run bonge moja la entreprise hence win/win to everyone kuliko ukianza from scratch.

Ahsante boss
 
Naomba msaada wa ushauri biashara ya chakula yaani Mgahawa na chips pamoja na vinywaji inaweza kuhitaji gharama ya kiasi gani kwa wazoefu, msaada pliz.
 
Naomba msaada wa ushauri biashara ya chakula yaani Mgahawa na Chips pamoja na vinywaji inaweza kuhitaji gharama ya kiasi gani kwa wazoefu msaada pliz
Uko mji gani?
Unahitaji kuuza vyakula vipi?
Vinywaji gani utauza hapo?
Upatikanaji waviinywaji na chakula uko vipi?
Vitendea kazi vipi ungependa kuwa navyo kwenye mgahawa huo??
Unahitaji wafanyakazi wangapi?
Gharama za kukodi chumba / kujenga ziko vipi?
Upatikanaji wa vibari vya kazi je?

Gharama unazipata kwa kujiuliza maswali kama hayooooo
 
Natafuta Eneo zuri DAR ambalo naweza kuwekeza kwenye mgahawa wa chakula na kuchoma chips, Kuku, mishikaki n.k, naomba uniambie eneo unalolijua.
 
Habari wadau,

Napenda kuuliza hivi: Kuuza au biashara ya chakula inalipa au?

Naombeni mawazo yenu.
 
Wakuu habari za mchana,

Naomba kwa wajuzi na wazoefu wa biashara ya MGAHAWA wanipe msaada, nahitaji mchanganuo wa vitu navyotakiwa kuwa navyo, ili nianze mradi wa biashara ya mgahawa yaani reataurant ya chakula na vinywaji.

Naombeni na gharama ya vitu vinipasavyo, lengo ni kujua tathmini ya nijiandae kwa sh. ngapi ili kufanikisha hilo.

Asanteni naomba kuwasilisha mezani.
 
Ukitaka kuona wabongo tusivyojali mada za maana humu jf hii thread watajitokeza wachache tu kuongelea lakini kama zingekuwa stori za mambo ya ajabu ungekuwa na replies za kufa mtu.
 
Back
Top Bottom