mkuu biashara ya mgahawa inaendana na vitu vifuatavyo.
- location
-usafi
-chakula
- wahudumu
- bei
- unicness/ je kwenye mgahawa wako kuna kitu cha ziada
1. Lazima kuwe na chakula chaenye ubora na si bora chakula
2. Location yake lazima iwenzuri na ya kuingilika na wateja.
3. Wahudumu lazima wawe na kauri nzuri na lazima wawe wasafi mda wote
4. Hotel lazima iwe safi time zote na muda ambao wateja unakuta wamepungua au kukata wanapitisha dekio ili kuweka mazingira ya usafi
kuhusu kuto pata faida labda nikujibu ifuatavyo.
1. inategemeana na bei ya msosi wako. Je umeweka bei ya kuvutia tu wateja bila kuajali kama kuna profiti?
2 au umeweka bei ya juu kiasi kwamba wateja wanashindwa kuingia?
angalia bei yako kama ina meet cost na kutengeneza profit kidogo
3. hao wahudumu wako je niwaminifu kiasi gani? Je ni ndugu zako wa karibu sana? But kwenye pesa hakuna cha undugu hata mke wako anaweza kuchakachua tu.
- jaribu kuspend siku nzima pale na ucheki wateja wanao ingia ni kiasi gani na pesa inayo patikana ni kiasi gani.
- then hapo utaweza fanya analysisi ya kujua kama huwa wanakuibia au
nb: Biashara ya hotel ni moja ya biashara ambazo kwa kweli huwa hazina hasara kubwa na ni moja ya business ambazo huwa zinatengeneza profit kwa haraka sana ukilinganisha na biashara za duka