Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hahaaaa! Wanatulisha vibudu hawa!!Me nmeshangaa sana aiseee
Cjui inatoka huko kalomijee ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa! Wanatulisha vibudu hawa!!Me nmeshangaa sana aiseee
Cjui inatoka huko kalomijee ama
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahaaaa! Wanatulisha vibudu hawa!!
Nenda machinjioni uliza bei ya nyama. Hawa wanaouza 5000-6000 unafikiri wananunua bei gani machinjioni?Ungesema machinjion sawa
Ila kwa hyo bei buchan hata
Utoe machoz ya dam hupat
Hata machinjion labda
Kwa anaekujua
Kama siyo mfuatiliaji wa bidhaa mbalimbali sokoni huwezi kunielewa!Me nmeshangaa sana aiseee
Cjui inatoka huko kalomijee ama
nahitaji eneo lolote sio hapa nnapoishi tuHauko serious,tafuta madalali wa eneo unalotaka, otherwise ni utapeli
AhahaahahahaHawa madogo wanakwenda alfajili sana kukusanya kuku waliokufa mabandani na kuwaandaa vizuri. Kisha wanaondoka na hao vibudu mpaka town Ktk migahawa na kuuza kwa bei ya kutupa. Sisi tunafakamia kwa bei nafuu. Uliza wafugaji aw kitunda wakupe Siri hii Kama kuna kuku wanafukiwa huko wakifa.