Benittotz
Member
- May 24, 2018
- 68
- 123
Ninavyo vya kwangu tayari... Tafuta kijana awe anakuketea hesabu.. wapo wengi Sana Mtaani ni wew TU kumpata Alie sahihiTuingie contract ...nikupe 435,000 ufungue kibanda then tutajua tunalipana vipi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninavyo vya kwangu tayari... Tafuta kijana awe anakuketea hesabu.. wapo wengi Sana Mtaani ni wew TU kumpata Alie sahihiTuingie contract ...nikupe 435,000 ufungue kibanda then tutajua tunalipana vipi.
Hivi kumbe kila siku unaweka mabandiko yako hapa ili tuvutike kuja huko kwa groups ?Ndio sababu Kuna maelezo yanasema ukitaka kujua kiundani jiunge katika Watsap group. After all Kama utakua unalipia sehemu 5000 kwa siku nadhan una majibu ya jinsi umeme na miondombinu
Ninavyo vya kwangu tayari... Tafuta kijana awe anakuketea hesabu.. wapo wengi Sana Mtaani ni wew TU kumpata Alie sahihi
Nani alikuwambia soko pekee ni wanafunzi? Why full of negativity tho?wanafunzi siku hizi wanakula shuleni,hizo viepe mtamuuzia nani?
labda wanaume wa dar...
No research no right to talkHao kuku wamekufa, hakuna kuku wa 5000 wazima.
Utamulipa shs ngapi?Wakuu Poleni na kazi .
Naomba niende kwenye mada rasmi, nimekuwa interested sana na hii biashara ya kuuza chakula (mgahawa) nimetumia Muda wangu mwingi kujipanga kwa capital na kujifunza zaidi juu ya hii biashara ,kwa sasa nipo tayari kuweza kurisk pesa yangu kwenye hii biashara , nimeshapata eneo LA biashara ni nzuri kwa kiasi flani, tatizo moja nimekosa msimamizi Wa kuweza kuiendesha tangu upishi had uuzaji , kama tunavyojua hii biashara asilimia kubwa inasimamiwa na wanawake, Mimi ni kijana sijaoa, nafikiri inabid nimpate MTU Wa mtaani , sasa ishu IPO kumpata mdada mwaminifu atakayeweza kufanya kazi kwa uamini na kuichukulia kama kazi yake , , naombeni ushauri wenu njia gan naweza kutumia Ili kumpata msimamiz mzuri atakayefanya kazi kwa Moyo wote na kwa uaminifu..
Nisaidieni kijana wenu hapa nawasilisha.
Ofisi unaifungua wapi? Kama Dar acha namba nikulink na mtuHaya ni makubaliono kati yake na Mimi , ila sihofii juu ya malipo yake, kama ataifanya kazi kwa Moyo atalipwa vizuri
UMEJUAJE KAMA ANA MKE NDUGUHakikisha anakaa mkeo au ndugu yako unae muamini
jaribu kununua viti hasa vitafunwa kuliko kupika mwenyewe
watu watatu wanatosha na mkeo wa nne...