Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

Baada ya kusoma ule uzi "Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa", wengi wanaeleza jinsi walivyofeli kwenye kilimo kwa sababu ya changamoto mbalimbali.

Comments nyingi ni za kuvunja moyo. Hivyo naomba mliofanikiwa katika kilimo mje hapa mtueleze mlifanikiwaje, mbinu gani mlitumia na kiasi gani mliwekeza.

Karibuni.
 
Hao ni mmoja kwa milion.. Ngoja waje
 
Hahaaaa, kilimo noma sana, kinaogofya sana ukisikiliza watu walivyoangukia pua.

Mbona nakumbuka uzi kama huu ulishaanzishwa tena kwenye hili jukwaa
Watu wengi wakafunguka tu kilimo kilivyowatoa.
 
Walifanikiwa katika kilimo halijui hili jukwaa letu ila wapo wengi sema tu bahati mbaya hawamo humu JF.
 
Mwaka 2014/majani ya Chinese tulikua tunauza 200 shambani yawe mazuri kabisa. So ukiweka tuta la box ukata miche km 30/ulikua una uhakika wa kupata hela nzur sn kwa kila siku unayochuma. Mambo yakaja haribika 2015 hasa hasa 2016. Zile mboga zilizokua zinatoka morogoro zikakata kabisa. Wamama walikuwa wanapakza Abood saa11(nikiwemo) lakini sasa hivi ukilima Chinese tegemea kula wewe na wanao na majirani. Kuanzia hapa Mdaula ni mboga mboga tu had hUko Mbagala😎

Tikiti ndiyo usiseme.

Mchicha pandia kuku zako watage vizuri
Mahindi panda ya kula tu (labda kwa ajili wamefungua mipaka)
Kitunguu tunza utunzavyo hakijapanda ng'o!
 
Naunga mkono hoja huo ndio msimamo niliobaki nao mpaka sasa.
 
Mkuu nahitaji uzoefu wa Morogoro, PM me if u dont mind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…