Ghost MVP
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 439
- 736
Ransomware ni programu (Kirusi) iliyoundwa kumnyima mtumiaji au shirika ufikiaji wa faili kwenye kompyuta yake. Kwa kuloki faili hizi kwa njia amabyo huwezi fungua na kisha kudai malipo ili uweze kufungua faili zako, wavamizi (Hackers) wa mtandao huweka mashirika katika hali ambayo kulipa fidia ndiyo njia rahisi na ya bei nafuu zaidi ya kurejesha ufikiaji wa faili zao. Baadhi ya mashirika yameongeza utendaji wa ziada - kama vile wizi wa data - ili kutoa motisha zaidi kwa waathiriwa wa Kirusi hiki Ransomware kulipa fidia.
Ransomware imekuwa kwa haraka aina maarufu na mbya zaidi ya kirusi. Mashambulizi ya hivi majuzi ya ransomware yameathiri uwezo wa hospitali kutoa huduma muhimu, kulemaza huduma za umma katika miji, na kusababisha uharibifu mkubwa kwa mashirika mbalimbali.
-Kiwangi cha malipo ya kufunguliwa fail zako huwa ni kwanzia $800,000(TSH. 1.8 Bilion) hadi $5,000,000(TSH.11.6 Bilion) ambayo pia haina uhakika kama ukimlipa Hacker atakufungulia au atatokomea na pesa yako, FIB na mashira makubwa ya kuzuia uhalifu wanaendelea tafuta namna ya kuumaliza uhalifu hii.
Kirusi hiki huingia katika system/Computer yako kwa njia ya Internet, Ambapo inaweza kuja kama Ad(Tangazo) Au link ya zawadi ambapo ukiigusa na kufungua ni ketendo cha dakika moja tu na computer yote inakuwa katika shambilizi
Chanzo: Checkpoint
MASHIRIKA 5 MAKUBWA AMBAYO YALIKUMBANA NA UHALIFU HUU WA MTANDAO
1.CWT Global -Shirika la usafirishaji la America, Ililipia Dola za kimarekani $4.5Million(TSH 10.4 Bilioni), Mwezi Julai mwaka 2020.
-Shambulio hili liliathiri kompyuta 30,000 na kuaribu data za 2TB(2000 GB), Mfumo wa malipo, Data binafsi za wafanyakazi, Nyara za siri.
2.COLONIAL PIPELINE -Wasambazaji wa mafuta na gesi walilipa Dola za Kimarekani $4.4Million(TSH 9.8 Bilioni), Mwezi may mwaka 2021.
-Shambulio hili liliathiri mfumo wote wa malipo ambayo kampuni ilishindwa kufatilia malipo kwa wateja wake wala kupata data za usambazaji na uuzaji wa nishati yao.
3.BRENNTAG - Kampuni ya usambazaji wa kemikali ililipa Dola za kimarekani $4.4Million((TSH 10.4 Bilioni), Mwezi May mwaka 2020.
-Shambulio hili lilisababisha wizi wa data za 150GB ambayo iliitikisa kampuni, na kusitisha maili 5,000 za bomba la mafuta, mapka pale walipofikia muafaka wa malipo
4.TRAVELEX - Mwaka 2019 tarehe 1 siku ya mwaka mpya kampuni hii iliathiriwa na Virus huyu kwa muda wa wiki mbili, na walilipa Dola $2.3Million(TSH.5.3 Bilioni)
5.UNIVERSITY OF CALIFONIA AT SANFRANSISCO - Mwezi Juni 2020 Chuo kiliathiriwa na kirusi huyu mpaka walipolipa Dola $ 1.14Million(TSH. 2.6 Bilioni)
Chanzo:IT-GOVERNANCE
Ransomware imekuwa kwa haraka aina maarufu na mbya zaidi ya kirusi. Mashambulizi ya hivi majuzi ya ransomware yameathiri uwezo wa hospitali kutoa huduma muhimu, kulemaza huduma za umma katika miji, na kusababisha uharibifu mkubwa kwa mashirika mbalimbali.
-Kiwangi cha malipo ya kufunguliwa fail zako huwa ni kwanzia $800,000(TSH. 1.8 Bilion) hadi $5,000,000(TSH.11.6 Bilion) ambayo pia haina uhakika kama ukimlipa Hacker atakufungulia au atatokomea na pesa yako, FIB na mashira makubwa ya kuzuia uhalifu wanaendelea tafuta namna ya kuumaliza uhalifu hii.
Kirusi hiki huingia katika system/Computer yako kwa njia ya Internet, Ambapo inaweza kuja kama Ad(Tangazo) Au link ya zawadi ambapo ukiigusa na kufungua ni ketendo cha dakika moja tu na computer yote inakuwa katika shambilizi
Chanzo: Checkpoint
MASHIRIKA 5 MAKUBWA AMBAYO YALIKUMBANA NA UHALIFU HUU WA MTANDAO
1.CWT Global -Shirika la usafirishaji la America, Ililipia Dola za kimarekani $4.5Million(TSH 10.4 Bilioni), Mwezi Julai mwaka 2020.
-Shambulio hili liliathiri kompyuta 30,000 na kuaribu data za 2TB(2000 GB), Mfumo wa malipo, Data binafsi za wafanyakazi, Nyara za siri.
2.COLONIAL PIPELINE -Wasambazaji wa mafuta na gesi walilipa Dola za Kimarekani $4.4Million(TSH 9.8 Bilioni), Mwezi may mwaka 2021.
-Shambulio hili liliathiri mfumo wote wa malipo ambayo kampuni ilishindwa kufatilia malipo kwa wateja wake wala kupata data za usambazaji na uuzaji wa nishati yao.
3.BRENNTAG - Kampuni ya usambazaji wa kemikali ililipa Dola za kimarekani $4.4Million((TSH 10.4 Bilioni), Mwezi May mwaka 2020.
-Shambulio hili lilisababisha wizi wa data za 150GB ambayo iliitikisa kampuni, na kusitisha maili 5,000 za bomba la mafuta, mapka pale walipofikia muafaka wa malipo
4.TRAVELEX - Mwaka 2019 tarehe 1 siku ya mwaka mpya kampuni hii iliathiriwa na Virus huyu kwa muda wa wiki mbili, na walilipa Dola $2.3Million(TSH.5.3 Bilioni)
5.UNIVERSITY OF CALIFONIA AT SANFRANSISCO - Mwezi Juni 2020 Chuo kiliathiriwa na kirusi huyu mpaka walipolipa Dola $ 1.14Million(TSH. 2.6 Bilioni)
Chanzo:IT-GOVERNANCE