Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Hahaaah mkuu....commission inaongezeka jinsi ambavyo miamala inaongezeka...kama ni sehemu iliyochangamka usijiulize mara mbili fanya hiyo biashara...kama utapata chumba kikubwa unaweza ongeza na biashara nyingine yoyote....kwa nje weka friji kubwa uwe unauza vinywaji kama eneo limechangamka sana pembeni unatengeneza kieneo kidogo unaweka gesi uwe unauza...utapiga hela sana
Hahaha mkuuu unataka uje uwekeze kesho nn.. Uzalendo ni kupeana deal naona hii Deal itakua yangu.... Naomba nijue calculation mkuu
 
habari wakuu,
kwa mwenye ufaham zaid juu ya faida za wakala mkuu majukumu yake na myumbuliko wa kamishen unavyokwenda
nataka kujitosa huko kujaribu bahati yangu kibiashara
Natanguliza shukrani!!
 
Hahaaah mkuu....commission inaongezeka jinsi ambavyo miamala inaongezeka...kama ni sehemu iliyochangamka usijiulize mara mbili fanya hiyo biashara...kama utapata chumba kikubwa unaweza ongeza na biashara nyingine yoyote....kwa nje weka friji kubwa uwe unauza vinywaji kama eneo limechangamka sana pembeni unatengeneza kieneo kidogo unaweka gesi uwe unauza...utapiga hela sana
Sawa mkuu maana nahisi ndoto za kuajiriwa hazipo tena.. Vile vile nataka nifuge na kuku mkuu
 
Sawa mkuu maana nahisi ndoto za kuajiriwa hazipo tena.. Vile vile nataka nifuge na kuku mkuu
Kama unamtaji bora tu ujiajiri...kuajiriwa ni utumwa...ukiajiriwa utakuja kukumbuka maneno yangu miezi mitatu nishatoka kwenye huo utumwa wa kutumikishwa na sitarajii kurudi...ila kama huna mtaji hapo kweli inatakiwa uajiriwe kama sehemu ya kutafutia mtaji
 
Kama unamtaji bora tu ujiajiri...kuajiriwa ni utumwa...ukiajiriwa utakuja kukumbuka maneno yangu miezi mitatu nishatoka kwenye huo utumwa wa kutumikishwa na sitarajii kurudi...ila kama huna mtaji hapo kweli inatakiwa uajiriwe kama sehemu ya kutafutia mtaji
Hakika mkuu macho ya rohoni hayanioneshi fursa ya kuajiriwa zaidi ya kuwatumikia wao
 
Mkuu tafuta sehemu wameandika Super Agent au wakala mkuu wa Mpesa au tigopesa then watakupa maelekezo jinsi ya kupata hill line za Tigopesa
 
Mkuu tafuta sehemu wameandika Super Agent au wakala mkuu wa Mpesa au tigopesa then watakupa maelekezo jinsi ya kupata hill line za Tigopesa
Sawa mkuu but nataka kujua calculation za commission
 
Dah Mimi naitafuta sana hiyo nafasi mkuu nakufuata inbox unipe mchongo wa kuupata huo Usurper dealer
 
Luku Mara ya mwisho nafanya hizo mambo kuuza faida ilikuwa 3% ya kiasi ulichouza. Lakini sasa nasikia wamepunguza hizo % za faida
 
Kama unamtaji bora tu ujiajiri...kuajiriwa ni utumwa...ukiajiriwa utakuja kukumbuka maneno yangu miezi mitatu nishatoka kwenye huo utumwa wa kutumikishwa na sitarajii kurudi...ila kama huna mtaji hapo kweli inatakiwa uajiriwe kama sehemu ya kutafutia mtaji
nami pia nataka kujiajiri, ila ishu ya kufanya ndio naumiza kichwa, mtaji upo
 
si kweli, mteja akitoa pesa hyo commission ni zaidi ya 500
MTU akitoa ile tozo ya kutolea hugawanywa ifuatavyo: TRA 18%, Kampuni 10% Super Agent 10% na wakala (wewe) 80%.
Mgawanyo huo upon hivyo hata kwenye tozo za kuhamisha (kuweka).
 
Back
Top Bottom