Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hongera, ila sio ruku ni Luku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tulia changanya vizuri akili azijue fursa zilizopo eneo unaloishinami pia nataka kujiajiri, ila ishu ya kufanya ndio naumiza kichwa, mtaji upo
MTU akitoa ile tozo ya kutolea hugawanywa ifuatavyo: TRA 18%, Kampuni 10% Super Agent 10% na wakala (wewe) 80%.
Mgawanyo huo upon hivyo hata kwenye tozo za kuhamisha (kuweka).
Sina uzoefu. Wengne tuendelee kuweka comentEti ukinunua laini kwa wakala mkuu, kila ukifanya miamala kuna commission anaipata yeye? tofauti na ukinunua laini direct tigo office au voda office
Laini ya tigo ni bure sema lazima uwe na leseni ya biashara na kianzio chao ni laki tanoNaombeni mwongozo,
Nahitaji kupata hizo line tajwa wakuu.
0718776676 nitafuteNaombeni mwongozo,
Nahitaji kupata hizo line tajwa wakuu.