Heaven Ambassador
Member
- Oct 27, 2017
- 91
- 94
Nahitaji line tatu za uwakala, Tigo, airtel na Voda,
Nataka zote ziwe kwa jina langu.
0786133399
Weka na gharama tuje PMTigo ipo mkuu 0620163695
140000Weka na gharama tuje PM
Ww unapatkn wapTigo ipo mkuu 0620163695
Ww unapatkn wap
Duhh, kivipi???uvumilivu muhim
milion moja, kwan una frem tayari?Jamani naombeni ushauri wenu kuhusu mpesa na tigopesa Kwa mtaji wa million moja, vipi unalipa ama ntapoteza? Plz nahitaji ushauri nipo serious
Hiyo ya mtaji tu, frem ipobiashara inalipa sema inatakiwa uwe sehem yenye mzunguko mkubwa wa pesa
Ntashukuru sanaKesho nitakuja kukupa namna ya kuzifanya leo simu imeishiwa chaji
Utakapokuja unitagKesho nitakuja kukupa namna ya kuzifanya leo simu imeishiwa chaji