Ahsante Kwa mchango wako... Bado sijajua kwenye selcomKama kipato chako ni cha kawaida unaweza kuanza na mtaji Wa mil 1:5
Wateja wanao toa pesa na wanao weka pesa wote wanafaida kwako.. .japo wanao toa ndio wenye faida kubwa kidogo.... Tafuta eneo lililo changamka ili pesa yako iwe inazunguka...
Malipo yote hufanywa mwisho Wa mwezi( camishen)...
Sifaham chochote kuhusu selcom..mkuuAhsante Kwa mchango wako... Bado sijajua kwenye selcom
Pamoja sanaSifaham chochote kuhusu selcom..mkuu
selcom sasa hv hamna kitu kule, commission imepungua sana kwa mfano luku ukiuza umeme wa laki moja commission 500, ni hasara tu. Usinunue machineAhsante Kwa mchango wako... Bado sijajua kwenye selcom
Okay ahsante sana Kwa tahadhariselcom sasa hv hamna kitu kule, commission imepungua sana kwa mfano luku ukiuza umeme wa laki moja commission 500, ni hasara tu. Usinunue machine
Mkuu hizi ni moja ya biashara zinazo weza kukupa kipato kulingana na mtaji na mahali ulipoNtashukuru sana
Asante mkuuuKama kipato chako ni cha kawaida unaweza kuanza na mtaji Wa mil 1:5
Wateja wanao toa pesa na wanao weka pesa wote wanafaida kwako.. .japo wanao toa ndio wenye faida kubwa kidogo.... Tafuta eneo lililo changamka ili pesa yako iwe inazunguka...
Malipo yote hufanywa mwisho Wa mwezi( camishen)...
Kweli kabisa sijapata maelekezo mazuri yakunieleweshaNimesoma Komenti zote lakini bado sijaona aliyefafanua vizuri.
Ngoja nimuite mmili wa M Pesa aje atufafanulie Vodacom Tanzania Vodacom Tanzania njoo utusaidie huku.
Sawa sawa, kwa mtaji huo wa 1.5?Mkuu mm niliwahi fanya hio kazi ila niliajiriwa nilifanyia pale mabibo hostel nilikua napata camision mpk laki6 kwa vodacom,laki5 kwa Tigo ,airtel money ilikua chini sana...
fikiria kwa hio ni kwa mwezi mmoja tu.
kwasiku nafanya miamala hata mia na ushee ya mtandao mmoja hio...
customer care nzuri..
inalipa ,ila kama hakuna mzunguko mzuri utalia na utaifunga