floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 855
Kama kipato chako ni cha kawaida unaweza kuanza na mtaji Wa mil 1:5
Wateja wanao toa pesa na wanao weka pesa wote wanafaida kwako.. .japo wanao toa ndio wenye faida kubwa kidogo.... Tafuta eneo lililo changamka ili pesa yako iwe inazunguka...
Malipo yote hufanywa mwisho Wa mwezi( camishen)...
Wateja wanao toa pesa na wanao weka pesa wote wanafaida kwako.. .japo wanao toa ndio wenye faida kubwa kidogo.... Tafuta eneo lililo changamka ili pesa yako iwe inazunguka...
Malipo yote hufanywa mwisho Wa mwezi( camishen)...