Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Mkuu biashara sometimes ujanja ujanja unatakiwa na kuwa na kauli ya kibiashara ...kama biashara anadhani anaweza kuifanya aifanye hivyo hivyo hata kama atahudumia wateja wa 50,000 na mteja wa 500,000, akija wa million ambao ni wachache atajua namna ya ku-deal nao maana navyojua kama mtu ni mwaminifu sometimes huwa anapokea hela na kumpa namba ya wakala mwingine ili kuweza kumuaminisha mteja siku nyingine aje maana wenye vibanda vya huduma hizi wengi level zao hizo hizo za laki moja ama mbili inategemea na location.

Kwahiyo apige mdogo mdogo tu kama ana nia ya kweli ya hiyo biashara maana ukisema kuongeza mtaji wakati mwingine muda sio rafiki kwani ukiwa na goli (kibanda) ni mwanzo mzuri hata kama mtaji ni mdogo lakini pia ni rahisi kupiga hata mzinga mtu laki moja na nusu hata ndugu zako 10 kwa ahadi ya utawarudishia baada ya siku kadhaa unaongezea mtaji (mjini humu wengine tukiwa na shida ya laki 2 tunatumia mbinu ya kuomba watu tofauti tofauti hata kama ni 20,000 ama 40,000 mpaka itafika laki 2)
Kumbe ujanja ujanja!?. Hapo sawa mwambieni basi awe mjanja mjanja japo biashara haitaki ujanja ujanja wateja wakishagundua watakukimbia wote na huko mtaani utasemwa vibaya
 
Sijaelewa hapa "wateja wa kuweka kwako"
Mteja akitoa pesa mfano shilingi 5000 commission inakua kama 160 hivi
Mteja kuweka 5000 commission ni kama 100

Hapo sasa Umepata concept Kidogo kuwa mteja akitoa pesa kuna commission kubwa kidogo kuliko akiweka
 
Na huo ndio uhalisia Wenywe naweza kumwambia mtu niazime hata laki tatu baada ya siku kadhaa mfano week narudisha hela ya watu nikiwa nmetengeneza faida
Kweli

Ila changamoto zilizopo kwa sasa utapeli umekuwa mwingi sana

Tunahitaji kuwa makini
 
Kumbe ujanja ujanja!?. Hapo sawa mwambieni basi awe mjanja mjanja japo biashara haitaki ujanja ujanja wateja wakishagundua watakukimbia wote na huko mtaani utasemwa vibaya
Ujanja ujanja sio huo unaofikiria mkuu hiyo ni nyongeza lakini kikubwa nilichoamaanisha ni mwanzo mgumu aende mdogo mdogo tu mwisho wa siku akiwa na goli inakuwa rahisi hata kukopa kwa ndugu na jamaa kwa kuwa tayari umeonyesha una shughuli mjini lakini sio lazima (ndo ujanja niliouzungumzia)...ukienda kwa watu wa hardware mfano unakuta mtu anauza tiles za aina tofauti tofauti na ameweka display, wengi wao sio kweli ana vigae vya kutosha ..mara nyingi unakuta ana box kadhaa na ukitaka mzigo mkubwa anakuambia upo stoo na wanachofanya wanakwenda kwenye duka la jumla na kuchukua mzigo lakini sie tukianza unakuta mtu anawekeza milion kadhaa na anachukua mzigo lundo kumbe wenzake wanachukua chache chache na mara nyingi wauzaji wa jumla wanawafahamu wenye duka wote akipiga simu mzigo unaletwa anapewa chache na yeye anachukua chache (ndio ujanja ujanja naouzungumzia huo ukiambatana na kauli ya kibiashara)
 
Ujanja ujanja sio huo unaofikiria mkuu hiyo ni nyongeza lakini kikubwa nilichoamaanisha ni mwanzo mgumu aende mdogo mdogo tu mwisho wa siku akiwa na goli inakuwa rahisi hata kukopa kwa ndugu na jamaa kwa kuwa tayari umeonyesha una shughuli mjini lakini sio lazima (ndo ujanja niliouzungumzia)...ukienda kwa watu wa hardware mfano unakuta mtu anauza tiles za aina tofauti tofauti na ameweka display, wengi wao sio kweli ana vigae vya kutosha ..mara nyingi unakuta ana box kadhaa na ukitaka mzigo mkubwa anakuambia upo stoo na wanachofanya wanakwenda kwenye duka la jumla na kuchukua mzigo lakini sie tukianza unakuta mtu anawekeza milion kadhaa na anachukua mzigo lundo kumbe wenzake wanachukua chache chache na mara nyingi wauzaji wa jumla wanawafahamu wenye duka wote akipiga simu mzigo unaletwa anapewa chache na yeye anachukua chache (ndio ujanja ujanja naouzungumzia huo ukiambatana na kauli ya kibiashara)
Hatuelewan kwa kusema 500,000 anaweza pata commission ya laki 6 kwa mwez voda. Ndo hapo mi nasema hayo matumaini hewa kabisa mwambien ukweli mkuu kuwa huo mtaji unatosha kuanzia na akikomaa anapata faida nzur tu ili kukuza hiyo biashara yake lkn "not to that extent"( kwa sauti ya mkuru)
 
Changamoto hizo za utapeli zipo yani mwezi wa pili tu nilikula shoti kama 90 hivi nililalamika sana ila sikufa moyo nikaanza upya leo sio tena bwege

Unawakwepaje hao matapeli maana nasikia wanatapeli kweli wanatumia mbinu gani?
 
Unawakwepaje hao matapeli maana nasikia wanatapeli kweli wanatumia mbinu gani?
Kusema ukweli natumia lugha ya biashara hapo hapo nikiwa simuamini mtu sitoi hela bila kuhakikisha sms kwenye simu yangu kama umekosea kutuma sijui nini wasiliana na makao makuu huko
 
Back
Top Bottom