Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Mkuu nilijifunza hapo sitaki ujinga kabisa sijawahi pata loss hata ya 100 tangu hapo yani mtu mzima tu alinifanyia uhuni dah
Mkuu tapeli wana njia nyingi sana na kila siku wanabadilisha njia

Hapa ni kufanya kazi kwa kufuata uataraibu unao jiwekea ofisini kwako na utaratibu wa mtandao husika
 
Jamani


TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini

Karibuni
 
Mkuu mm niliwahi fanya hio kazi ila niliajiriwa nilifanyia pale mabibo hostel nilikua napata camision mpk laki6 kwa vodacom,laki5 kwa Tigo ,airtel money ilikua chini sana...
fikiria kwa hio ni kwa mwezi mmoja tu.
kwasiku nafanya miamala hata mia na ushee ya mtandao mmoja hio...
customer care nzuri..
inalipa ,ila kama hakuna mzunguko mzuri utalia na utaifunga
Vipi kuhusu shoti?
Nasikia ina shoti balaa hii
 
Hatuelewan kwa kusema 500,000 anaweza pata commission ya laki 6 kwa mwez voda. Ndo hapo mi nasema hayo matumaini hewa kabisa mwambien ukweli mkuu kuwa huo mtaji unatosha kuanzia na akikomaa anapata faida nzur tu ili kukuza hiyo biashara yake lkn "not to that extent"( kwa sauti ya mkuru)
Kwa kuwa umezungumza kwa kauli ya mkuru nimekuelewa ni kweli pia hatukuelewana maana mie sikumaanisha anapata laki 5 wa mwezi bali ilikuwa kumtia moyo kama ana nia ya dhati aanze kwa mtaji huo alionao polepole huku anapiga hesabu ya kutafuta ela kutoka other sources aongezee...
 
Kwa kuwa umezungumza kwa kauli ya mkuru nimekuelewa ni kweli pia hatukuelewana maana mie sikumaanisha anapata laki 5 wa mwezi bali ilikuwa kumtia moyo kama ana nia ya dhati aanze kwa mtaji huo alionao polepole huku anapiga hesabu ya kutafuta ela kutoka other sources aongezee...
Pamoja sana mkuu!. Tupo kusaidiana ili tuboresha maisha kwa ku-share experience.
 
Mkuu utafanyaje muamala wa 2milions wakat una mtaji wa 500,000?. Si utamwambia mteja sina cash au sina float ili aende kwa mwingine?. Kuwa reality mtaji una umuhim sana ili ufanye miamala mingi otherwise utasubir wa 50,000 au 20,000 akija wa million huwez muhudumia
Sasa hyo miamala midogo dogo ndiyo yenye pesa,sio kama hiyo ya 1m haina faida kivile.
 
Sasa hyo miamala midogo dogo ndiyo yenye pesa,sio kama hiyo ya 1m haina faida kivile.
Mkuu sio kweli. Miamala mikubwa na commission ni kubwa hivyo hivyo. Kuna chat ya malipo imewekwa hapa inaonyesha hili
 
Mimi nilikuwa na 1m kwa tigo pesa mzunguko ulikuwa mkubwa nikawa napata hadi lakini 5 kwa mwezi
 
Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.

TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini

Karibuni
Mkuu nipo Dar naitaka ya mpesa na Tigo pesa... ww upo wapi? Tuwasiliane 0784 686575
 
vipi kuhusu kuibiwa na mfanyakazi kama huna mda wa ukaa mwenyewe akiwa na float ya tsh mil 3 si anaweza kutoroka nayo, namdibiti vip?
 
Nmeeleza hapo juu kuwa nilianza biashara kwa kununua TILL za mtu mwaka juzi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nlituma maombi ya till zangu ndo nmezipata leo hivyo naziuza hizi mpya maana tayar ninazo nlizonunua kwa mtu,nauza kuongeza mtaji kama ningekuwa na pesa ya kutosha ningefungua ofisi nyingine

Nazoziuza ni mpya kabisa atakayezinunua ndio atazitoa kwenye vikasha vyake
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu...kwenye comment ya kwanza umesema upo mbioni kufunga biashara...huku unasema una wish kufungua ofc nyingine...unamdanganya nani mkuu na ili iweje
 
Back
Top Bottom