Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Mkuu tapeli wana njia nyingi sana na kila siku wanabadilisha njiaMkuu nilijifunza hapo sitaki ujinga kabisa sijawahi pata loss hata ya 100 tangu hapo yani mtu mzima tu alinifanyia uhuni dah
asante na wewe kwakujaliMkuu asante kwa kumtia moyo mleta uzi
Mkuu atake hitaji utamsaidia maana kuweka hapa ilitakiwa mtandao husika wawekeAsante nmeipata je naweza kuiweka hapa kwa faida ya wote?
Ok sawaMkuu atake hitaji utamsaidia maana kuweka hapa ilitakiwa mtandao husika waweke
Tuko pamoja mkuu maana ili tuwe na uhakika wa kula ni pamoja na kutiana moyo kwa mambo kama hayaasante na wewe kwakujali
Asante mkuuNakutumia ya voda
Pamoja mkuuAsante mkuu
Ningekua na salio ningezinunua mkuuOK nitafutie wateja huko nauza till zote NNE zina jina moja ili niongeze mtaji. Ni mpya kabisa hazijawahi tumika yaan yeye mnunuzi ndo anakuwa wa kuzivunja toka kwenye vibati na kubadili password
Vipi kuhusu shoti?Mkuu mm niliwahi fanya hio kazi ila niliajiriwa nilifanyia pale mabibo hostel nilikua napata camision mpk laki6 kwa vodacom,laki5 kwa Tigo ,airtel money ilikua chini sana...
fikiria kwa hio ni kwa mwezi mmoja tu.
kwasiku nafanya miamala hata mia na ushee ya mtandao mmoja hio...
customer care nzuri..
inalipa ,ila kama hakuna mzunguko mzuri utalia na utaifunga
Kwa kuwa umezungumza kwa kauli ya mkuru nimekuelewa ni kweli pia hatukuelewana maana mie sikumaanisha anapata laki 5 wa mwezi bali ilikuwa kumtia moyo kama ana nia ya dhati aanze kwa mtaji huo alionao polepole huku anapiga hesabu ya kutafuta ela kutoka other sources aongezee...Hatuelewan kwa kusema 500,000 anaweza pata commission ya laki 6 kwa mwez voda. Ndo hapo mi nasema hayo matumaini hewa kabisa mwambien ukweli mkuu kuwa huo mtaji unatosha kuanzia na akikomaa anapata faida nzur tu ili kukuza hiyo biashara yake lkn "not to that extent"( kwa sauti ya mkuru)
Pamoja sana mkuu!. Tupo kusaidiana ili tuboresha maisha kwa ku-share experience.Kwa kuwa umezungumza kwa kauli ya mkuru nimekuelewa ni kweli pia hatukuelewana maana mie sikumaanisha anapata laki 5 wa mwezi bali ilikuwa kumtia moyo kama ana nia ya dhati aanze kwa mtaji huo alionao polepole huku anapiga hesabu ya kutafuta ela kutoka other sources aongezee...
Sasa hyo miamala midogo dogo ndiyo yenye pesa,sio kama hiyo ya 1m haina faida kivile.Mkuu utafanyaje muamala wa 2milions wakat una mtaji wa 500,000?. Si utamwambia mteja sina cash au sina float ili aende kwa mwingine?. Kuwa reality mtaji una umuhim sana ili ufanye miamala mingi otherwise utasubir wa 50,000 au 20,000 akija wa million huwez muhudumia
Mkuu sio kweli. Miamala mikubwa na commission ni kubwa hivyo hivyo. Kuna chat ya malipo imewekwa hapa inaonyesha hiliSasa hyo miamala midogo dogo ndiyo yenye pesa,sio kama hiyo ya 1m haina faida kivile.
Mkuu nipo Dar naitaka ya mpesa na Tigo pesa... ww upo wapi? Tuwasiliane 0784 686575Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.
TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini
Karibuni
OK sawa mi nipo mbeyaMkuu nipo Dar naitaka ya mpesa na Tigo pesa... ww upo wapi? Tuwasiliane 0784 686575
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu...kwenye comment ya kwanza umesema upo mbioni kufunga biashara...huku unasema una wish kufungua ofc nyingine...unamdanganya nani mkuu na ili iwejeNmeeleza hapo juu kuwa nilianza biashara kwa kununua TILL za mtu mwaka juzi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nlituma maombi ya till zangu ndo nmezipata leo hivyo naziuza hizi mpya maana tayar ninazo nlizonunua kwa mtu,nauza kuongeza mtaji kama ningekuwa na pesa ya kutosha ningefungua ofisi nyingine
Nazoziuza ni mpya kabisa atakayezinunua ndio atazitoa kwenye vikasha vyake