MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Nijibu wewe sasa kama unajua..ili ikamilike inahitaji nini??ni procedures gani inafuata??...mi sizijui mkuu...nipe elimu hiyo we mjuajiUlianza na maandazi, ukaja na vitumbua, sasa hivi umekuja na chapati. Naona hivyo ndio vitu unavyovimudu bwana misosi, natamani niendelee kukupa elimu ila uelewa wako ni mdogo. Ili till ikamilike inahitaji nini? Maana unapiga mayowe tu wakati huelewi kitu.
Unapotaka kujifunza kitu usiwe mbishi, wala usitumie mabavu kutaka kukijua. Mimi siyo mjuaji, kuomba nikupe elimu maana yake mimi ni mwalimu, unastahili kunipa hiyo heshima. Sasa kwa kuwa umekuja kishari, ngoja nikurudishe kishari nikuache na ujinga wako.Nijibu wewe sasa kama unajua..ili ikamilike inahitaji nini??ni procedures gani inafuata??...mi sizijui mkuu...nipe elimu hiyo we mjuaji
Mkuu bado unazo zote?Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.
TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini
Karibuni
Milioni 2/muamala????Biashara nzuri hii....kariakoo sister angu alikuwa anapata faida milioni mbili kwa kila muamala
safihi
hii aliitoa mdau humu ila nimeona niilete ili wengine waweze kuisoma
ilimradi usiwe chini ya laki5 huo mtaji...
Kwakuanzia ni sawa na akiwa na customer care safi kadada karembo kuvuta wateja ,sio mwizi ah mwezi ujao mbona inaongezeka
ilimradi usiwe chini ya laki5 huo mtaji...
Kwakuanzia ni sawa na akiwa na customer care safi kadada karembo kuvuta wateja ,sio mwizi ah mwezi ujao mbona inaongezeka
Hakikisha anakuonyesha msg kwenye simu yake inayoonyesha kuwa ametuma hela kwako ili uthibitishe kuwa msg uliyopokea wewe ina jina sawa na iliyopo kwake.Boss hii changamoto ya MTU anatoa hela yuko mbali then anawapigia voda kurudisha hela tunakabiliana nao vipi?
mh nini mkuuhhmm...
mkuu naomba uniuzie mm ukitaka kuuzaMtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.
TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini
Karibuni
Ni halali,kwani hujui kuwa mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake.very sorry. Nina leseni na vitambulisho nimeenda vodashop wanandai 20000 eti ya muhuri wanipe uwakala wa mpesa ni halali hii???
Msaada menu ya M-PESA kwa wakala wa M-PESANa uhakika nisemacho mkuu NPO kwenye hii industry MWAKA wa 5 huu....ambatanisha vitu hvyo hapo juu then peleka Kati ya sehem nlizoorodhesha hapo juu ukiambiwa gharama yoyote ntafute mkuu
Msaada menu ya M-PESA ya wakala...Acha upotoshaji kijana...mi niliipata bure..tatizo mtu unataka upate line ndani ya week moja...hapo lazima pesa jkutoke
Msaada menu ya wakala wa M-PESAKama unavyo vielelezo vyote venye kujitosheleza kwa nini usipate line ndani ya wiki moja. Nyie ndio mnaowachelewesha watu kupata maendeleo kwa kutengeneza mazingira ya rushwa. Sasa nikuulize wewe line yako uliipata bure ndani ya miaka mingapi?
Msaada menu ya wakala wa M-PESA