Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Ulianza na maandazi, ukaja na vitumbua, sasa hivi umekuja na chapati. Naona hivyo ndio vitu unavyovimudu bwana misosi, natamani niendelee kukupa elimu ila uelewa wako ni mdogo. Ili till ikamilike inahitaji nini? Maana unapiga mayowe tu wakati huelewi kitu.
Nijibu wewe sasa kama unajua..ili ikamilike inahitaji nini??ni procedures gani inafuata??...mi sizijui mkuu...nipe elimu hiyo we mjuaji
 
Nijibu wewe sasa kama unajua..ili ikamilike inahitaji nini??ni procedures gani inafuata??...mi sizijui mkuu...nipe elimu hiyo we mjuaji
Unapotaka kujifunza kitu usiwe mbishi, wala usitumie mabavu kutaka kukijua. Mimi siyo mjuaji, kuomba nikupe elimu maana yake mimi ni mwalimu, unastahili kunipa hiyo heshima. Sasa kwa kuwa umekuja kishari, ngoja nikurudishe kishari nikuache na ujinga wako.
 
Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.

TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini

Karibuni
Mkuu bado unazo zote?
 
Nashukuru Mungu sikiwahigi kupata hasara boss wangu aliniwekaga kitimoto kunielekeza..
 
Boss hii changamoto ya MTU anatoa hela yuko mbali then anawapigia voda kurudisha hela tunakabiliana nao vipi?
Hakikisha anakuonyesha msg kwenye simu yake inayoonyesha kuwa ametuma hela kwako ili uthibitishe kuwa msg uliyopokea wewe ina jina sawa na iliyopo kwake.
NB: hapa anaweza kutumiwa hiyo msg na huyo mtu aliyeko mbali baada ya kutuma pesa. So hakikisha msg anayokuonyesha imetumwa na mpesa/tigopesa etc. na sio kutoka namba ya mtu. (i.e forwarded msg)
 
Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.

TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini

Karibuni
mkuu naomba uniuzie mm ukitaka kuuza
 
very sorry. Nina leseni na vitambulisho nimeenda vodashop wanandai 20000 eti ya muhuri wanipe uwakala wa mpesa ni halali hii???
 
Na uhakika nisemacho mkuu NPO kwenye hii industry MWAKA wa 5 huu....ambatanisha vitu hvyo hapo juu then peleka Kati ya sehem nlizoorodhesha hapo juu ukiambiwa gharama yoyote ntafute mkuu
Msaada menu ya M-PESA kwa wakala wa M-PESA
 
Kama unavyo vielelezo vyote venye kujitosheleza kwa nini usipate line ndani ya wiki moja. Nyie ndio mnaowachelewesha watu kupata maendeleo kwa kutengeneza mazingira ya rushwa. Sasa nikuulize wewe line yako uliipata bure ndani ya miaka mingapi?
Msaada menu ya wakala wa M-PESA
 
Back
Top Bottom