Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Ulitakiwa tu umwambie aongeze mambo ya benk japo sion tija yake kushinda m-pesa issue ni maarifa ambayo weng mmeyakosa na sidhan kama naweza kukutana na siri ya kambi hapa jukwaani!Skuiz mitandao hailip sana kikubwa changanya na nmb wakal,fahar huduma na benk nyngne ndo wanalpa fresh
Tupe hayo maarifa.Ulitakiwa tu umwambie aongeze mambo ya benk japo sion tija yake kushinda m-pesa issue ni maarifa ambayo weng mmeyakosa na sidhan kama naweza kukutana na siri ya kambi hapa jukwaani!
Ulitakiwa tu umwambie aongeze mambo ya benk japo sion tija yake kushinda m-pesa issue ni maarifa ambayo weng mmeyakosa na sidhan kama naweza kukutana na siri ya kambi hapa jukwaani!
Mkuu ni january sasa, tunaomba mrejeshoNitakuja mkuu,,,tuombeane kheri kwa Mungu.
Hii ndo sekta yangu sitatia neno but nikukosoe uliyesema ilikuwa zaman mim nasema haitakufa na itazid kuchanua na niende mbali zaid nikwambie kuwa ndio biashara pekee Tanzania unayoweza kuifanya leo kwa milioni mbili na kesho ukaifanya kwa million mia mbili bila presha wala stress
Fungua bar tu tafuta eneo zuri weka pesa Kila Leo walev wanaongezekaHi
Jamani kwa anaefahamu mambo ya hii mitandao kuhusu kuweka na kutoa pesa (UWAKALA)
Nafikiria kuanzisha mambo ya M PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA nk
Lakini sijajua malipo yao yakoje.
Kwa mwenye elimu juu ya hili naomba ufafanuzi tafadhali.
Mrejesho mkuu..hii ni 2020 na siyo tena 2019!Nitakuja mkuu,,,tuombeane kheri kwa Mungu.
Acha uongo wewe jamaa..au unataka umuuzie line?Hii ndo sekta yangu sitatia neno but nikukosoe uliyesema ilikuwa zaman mim nasema haitakufa na itazid kuchanua na niende mbali zaid nikwambie kuwa ndio biashara pekee Tanzania unayoweza kuifanya leo kwa milioni mbili na kesho ukaifanya kwa million mia mbili bila presha wala stress
ππππππππππMkuu umenifurahisha sana nia yangu ingekuwa kuuza line au Till ningemwambia aje inbox kwa ufupi Mtui umenikosea lakini ndio sehem ya mjadala sitategemea positivity from ev'rybody but wanaofanya hii biashara kiundan wananielewa kuliko outsiders. Some people know nothing about this biz and they pretend to be aware of it.Acha uongo wewe jamaa..au unataka umuuzie line?
Mkuu tunaishi kwa kuogopana sana siku hizi hasa ukizingatia upande huu wa michuzi daaaaah Ndio maana hata akipata windo lake anapandisha juu mtini.
Murusi sitaki ubishi kama ule wa Messi na CR7 au siasa za akina fulani na fulan lete hoja za msingi refering to WB and IMF projections in 50 years to come halafu utaelewa kuwa hukuwa na knowledge kichwan kuhusu hii kitu kabla hujanijibu.Nani kwa kuambia? Hizi huduma hazina muda mrefu sana asikudanganye mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USALAMA! USALAMA! USALAMA!
Nimetaja mara tatu,
Hilo ni tatizo kubwa sana.