Unaweza kuongeza kupitia wateja wanaokuja kutoa au Kwa mawakala majirani ,super agent au voda shop and so onVipi hii flot ukitaka kuiongeza, mfano 200,000 to 500,000 unafika ofisi za mtandao husika au? andromena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuongeza kupitia wateja wanaokuja kutoa au Kwa mawakala majirani ,super agent au voda shop and so onVipi hii flot ukitaka kuiongeza, mfano 200,000 to 500,000 unafika ofisi za mtandao husika au? andromena
Duh.......Nauza laini yangu ya Tigopesa kwa 95k tu.
Nicheck hapa 0765042806
Shukrani, ngoja nianze mchakatounaweza kuongeza kupitia wateja wanaokuja kutoa au Kwa mawakala majirani ,super agent au voda shop and so on
Kwahiyo mfano hiyo laki tano kwa upande wa M-pesa unapoenda vodashop ukiwa na viambatanisho vyote ( TIN ,leseni) unawapa kisha wanakuwekea kama floti then unafanyiwa mchakato wa kupata laini. Baada ya kupata laini hiyo hela unaikuta kwenye hiyo laini au ndo unaanza upya na mtaji wako sasa?Kwa maelezeo ninayoendelea kusoma nadhani itakua wakisema "flot" ndio hicho kianzio unachowekewa na mtandao husika japo sina uhakika
Hapana hiyo unaenda nayo baada ya line yako kukamilika siku utakayoenda kuchukua unaenda na hiyo hela wanakuwekea kwenye till yako.Kwahiyo mfano hiyo laki tano kwa upande wa M-pesa unapoenda vodashop ukiwa na viambatanisho vyote ( TIN ,leseni) unawapa kisha wanakuwekea kama floti then unafanyiwa mchakato wa kupata laini. Baada ya kupata laini hiyo hela unaikuta kwenye hiyo laini au ndo unaanza upya na mtaji wako sasa?
tin na lesei navipata vipi kwa vigezo gani na wapiHatua ya kwanza n hvyo viambatansho line ya uwakal n bure
#Ukishapata line inakuwa na namba za wakal ambazo ndo utakuwa unszitumia kurka hela ,unaenda kwa wakala mkuu(super agent) skuiz bnk almost karbia zote n wakal mkuu
#float n ile hela iliyopo kwenye namb yako ya uwakal
#cash n ile hela ulionayo mkonon
#mteja akitoa unampa cash float inaongezeka
#mteja akieka kweny cmu yake float inapungua cash inaongezeka
Shukrani mkuu hapa sasa umenifungua akili, mfano Mpesa lain tayar na sijafikisha laki 5 let say nna laki 3. Sipew lain mpaka nikamilishe vigezo.?Hapana hiyo unaenda nayo baada ya line yako kukamilika siku utakayoenda kuchukua unaenda na hiyo hela wanakuwekea kwenye till yako.
Sikuwahi fikiria aina hii ya wiziYou are right
Kuna kaka angu, alikuwa na duka la jumla lkn ASAIVI kaacha ni wakala mkubwa sana usipime
Mtaji wake ASAIVI ni mwaka wa pili tuh ila unarange 20 million
I believe, kutokana na umakini alionao, miaka miwili Tena mbele, atafikisha hadi 100 million
Inalipa sana, MUHIMU UMAKINI KUKABILIANA NA WAJANJA WA MJINI
LA SIVYO, UTAMPA MTU CASH KUMB HAJATOA PESA ILA KAKUTUMIA TEXT YA KITAMBO AMBAYO ALIKUJA KUITOA KWAKO ILA HAKUIFUTA, BADALA YAKE KAIFANYIA EDITING, WEWE KWA HARAKA ZAKO UKAMPA PESA BILA KUTAZAMA TAREHE WA SALIO LA JUMLA, (Tena watu kama Hawa wanakuja kama saba kwa pamoja, japo huwezi jua kama ni ndugu, ila mmoja ndo anakuja na dili la kukupiga na Hao wengine wanafanya kitu correct bila wasi,) ukifanikiwa kweny umakini huo utatoboa
Baadhi wanajifanya wametoa elfu hamsini kumbe katoa 5000.00 wewe ukinichanganya na haraka zako kutokana na wateja umeliwa
Nikutakie kazi njema mtoa post, JAPO KUPATA HIZO LAINI HASWA VODA KWA SASA NDO SHIDA
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapewa mkuu labda tu anayekupa hiyoo till awe na roho mbaya.Shukrani mkuu hapa sasa umenifungua akili, mfano Mpesa lain tayar na sijafikisha laki 5 let say nna laki 3. Sipew lain mpaka nikamilishe vigezo.?
Kwani huwezi kupata line bila kupita TRA mbona raia kibao Wana mpesa bila tin?1.Tin unaenda tra kusem biashara unayotak kufanya wanakupa makadilio ya kod ,
unalpa kwa awamu nne ukianza kulpa tu
2.unapewa kitu kinaitwa tax clearance
3.unaenda nacho kama n jiji au halmshaur upande wa ma officer biashara wanakup lesen
4.unaenda n copy ya tin na lesen kam n vodashop,tigoshop,halopesa etc
Unapata lakin unakuwa kinyume na utaratibu, yaani iyo lain inakuwa ni ya makandokando(in nugazi voice)Kwani huwezi kupata line bila kupita tra mbn raia kibao Wana mpesa bila tin?
Unauza shi ngap na uko wap nashida na frijiwakuu nauza friji aina ya Aborder ni jipya tu, maisha yamebana nichek wasap 0742537423View attachment 1729052