FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Sio wewe tu mkuu mimi nishakata tamaa sasa tangu February napigwa kalenda tu. Alaaniwe yule wakala mkuu dadeki.aisee.me yang ya tigopesa nmeisamehe tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wewe tu mkuu mimi nishakata tamaa sasa tangu February napigwa kalenda tu. Alaaniwe yule wakala mkuu dadeki.aisee.me yang ya tigopesa nmeisamehe tuu
Labda 'njia ya mkato' inaeza saidiaSio wewe tu mkuu.mm nishakata tamaa sasa tangu february napigwa kalenda tu.alaaniwe yule wakala mkuu dadeki.
Mkuu unazingua hiyo si vodaNauza laini yangu ya tigopesa kwa 95k tu.
Nicheck hapa 0765042806
Siku 30 tuKwa maelezo niliyoyapata kwa wadau ni kwamba zinachukua muda mrefu sana kuja kuzipata, sijui kuna ukweli hapo
Mzee kuna watu wana zaidi ya mwezi na hata mpango wa kuzipata kama unapotea hiviSiku 30 tu
Mkuu umeandika kama algorithm fulani kwa mtu layman haelewei kitu. Tin 2 ni nini sasa?Niko Dodoma. Nilienda hizo sehemu Ijumaa
Airtel
1. Tin 2. Leseni 3. Id 4. Flot 200,000
5. 10,000 Lawyer (3 Weeks)
MPesa
1. Tin 2. Leseni 3. Id 4. Flot 500,000
(4 Weeks)
Halotel
1. Tin 2. Leseni 3. Id 4. Flot 100,000
5. 15,000 Lawyer (3 Days)
Tigo Pesa
1. Tin 2. Lesen 3. Id 4. Flot 400,000 (lakini maongezi yapo pia)
5. 5,000 Lawyer (3 Weeks)
Plus passport pictures
1 tinMkuu umeandika kama algorithm fulani kwa mtu layman haelewei kitu. Tin 2 ni nini sasa?
Mzee kuna watu wana zaidi ya mwezi na hata mpango wa kuzipata kama unapotea hivi
hbSiku 30 tu
1 tin
2. Lesen
3.
4
Bad hujaelewa
Mkuu! Nini tena hiki?..m .mn . . ...... .
.
....
.
.
.
....nnn . .n. .
mnn.nn....................................................................................................................................................................
Vipi pesa ya kuweka kwenye hiyo line unawalipa wakati umeenda na hizo documents au? MAMESHOUnahitaji leseni ya biashara, kitambulisho cha nida, TIN ya mlipa kodi, namba ya kawaida iliyosajiliwa kwa jina lako. Fika ofisi za vodacom ukiwa na nakala za hizo document.
Nasubiri jibu la hili swali.Vipi pesa ya kuweka kwenye hiyo line unawalipa wakati umeenda na hizo documents au?
Kwa maelezeo ninayoendelea kusoma nadhani itakua wakisema "flot" ndio hicho kianzio unachowekewa na mtandao husika japo sina uhakikaNasubiri jibu la hili swali.