Fahamu kuhusu marekani Kaskazini,marekani Kusini,USA,Na Jimbo la ALASKA

Fahamu kuhusu marekani Kaskazini,marekani Kusini,USA,Na Jimbo la ALASKA

mchawi wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
830
Reaction score
898
Habar Ya mchana JF nimewaletea Elimu Ya Kujifunza hapa.

ELIMU YA BURE: FAHAMU KUHUSU MAREKANI KASKAZINI, MAREKANI KUSINI, USA, NA JIMBO LA ALASKA.
-------------------------------------------------------
Naamini sote tunataka kufahamu vizuri kuhusu tofauti kijiogorafia kati ya Marekani kaskazini,Marekani kusini,USA na jimbo la Alaska.

MAREKANI KASKAZINI:
Marekani kaskazini ni moja wapo ya mabara saba duniani.Ni bara ambalo lina nchi takriban 23.

Imepakana na bahari la Aktiki upande wa kaskazini,Atlantiki upande wa mashariki, Pasifiki upande wa magharibi na bara la Marekani kusini upande wa Kusini mashariki.

Baadhi ya nchi katika bara hilo ni Kanada,USA, Mexico na nyingine nyingi katika eneo la Marekani ya kati na Karibea.

MAREKANI KUSINI:
Amerika kusini au Marekani kusini lipo eneo ambalo linapakana na bahari la Karibean upande wa Kasakzini magharibi na Atlantiki upande wa Kaskazini mashariki.
Ni bara ambalo lina nchi 12 tu, nchi hizo ni pamoja na Brazil,Argentina,Peru na nyingine nyingi.

USA (UNITED STATES OF AMERICA):
Hii ni nchi iliyopo eneo la Marekani Kaskazini.Ni nchi yenye majimbo makubwa 50 na wilaya maalum ya kiutawala(federal) ya Washington DC,ambayo pia ndo jiji kuu la nchi hiyo.

USA ndo nchi yenye usawishi mkubwa kuliko zote duniani,wamiliki wa sarafu maarufu ya DOLLA($).

Huu hapa chini ni orodha ya majimbo yote 50 nchini Marekani,na miji yao:

1. Alabama - Montgomery
2. Alaska - Juneau
3. Arizona - Phoenix
4. Arkansas - Little Rock
5. California - Sacramento
6. Colorado - Denver
7. Connecticut - Hartford
8. Delaware - Dover
9. Florida - Tallahassee
10. Georgia - Atlanta
11. Hawaii - Honolulu
12. Idaho - Boise
13. Illinois - Springfield
14. Indiana - Indianapolis
15. Iowa - Des Moines
16. Kansas - Topeka
17. Kentucky - Frankfort
18. Louisiana - Baton Rouge
19. Maine - Augusta
20. Maryland - Annapolis
21. Massachusetts - Boston
22. Michigan - Lansing
23. Minnesota - Saint Paul
24. Mississippi - Jackson
25. Missouri - Jefferson City
26. Montana - Helena
27. Nebraska - Lincoln
28. Nevada - Carson City
29. New Hampshire - Concord
30. New Jersey - Trenton
31. New Mexico - Santa Fe
32. New York - Albany
33. North Carolina - Raleigh
34. North Dakota - Bismarck
35. Ohio - Columbus
36. Oklahoma - Oklahoma City
37. Oregon - Salem
38. Pennsylvania - Harrisburg
39. Rhode Island - Providence
40. South Carolina - Columbia
41. South Dakota - Pierre
42. Tennessee - Nashville
43. Texas - Austin
44. Utah - Salt Lake City
45. Vermont - Montpelier
46. Virginia - Richmond
47. Washington - Olympia
48. West Virginia - Charleston
49. Wisconsin - Madison
50. Wyoming - Cheyenne

JIMBO LA ALASKA:
Alaska ni jimbo lililopo katika eneo la mbali ya Kaskazini magharibi mwa Marekani Kasakazini.Pia jimbo hili limetengwa kutoka eneo la USA na nchi ya Kanada.Yaani kufika eneo la jimbo hilo,lazima upitie nchi ya Kanada.Ni jimbo kubwa zaidi ya majimbo yote nchini Marekani,lakini ni jimbo lenye watu wachache sana.

Naamini tumejifunza kitu🙏🏿🙏🏿
 
Habar Ya mchana JF nimewaletea Elimu Ya Kujifunza hapa.

ELIMU YA BURE: FAHAMU KUHUSU MAREKANI KASKAZINI, MAREKANI KUSINI, USA, NA JIMBO LA ALASKA.
-------------------------------------------------------
Naamini sote tunataka kufahamu vizuri kuhusu tofauti kijiogorafia kati ya Marekani kaskazini,Marekani kusini,USA na jimbo la Alaska.

MAREKANI KASKAZINI:
Marekani kaskazini ni moja wapo ya mabara saba duniani.Ni bara ambalo lina nchi takriban 23.

Imepakana na bahari la Aktiki upande wa kaskazini,Atlantiki upande wa mashariki, Pasifiki upande wa magharibi na bara la Marekani kusini upande wa Kusini mashariki.

Baadhi ya nchi katika bara hilo ni Kanada,USA, Mexico na nyingine nyingi katika eneo la Marekani ya kati na Karibea.

MAREKANI KUSINI:
Amerika kusini au Marekani kusini lipo eneo ambalo linapakana na bahari la Karibean upande wa Kasakzini magharibi na Atlantiki upande wa Kaskazini mashariki.
Ni bara ambalo lina nchi 12 tu, nchi hizo ni pamoja na Brazil,Argentina,Peru na nyingine nyingi.

USA (UNITED STATES OF AMERICA):
Hii ni nchi iliyopo eneo la Marekani Kaskazini.Ni nchi yenye majimbo makubwa 50 na wilaya maalum ya kiutawala(federal) ya Washington DC,ambayo pia ndo jiji kuu la nchi hiyo.

USA ndo nchi yenye usawishi mkubwa kuliko zote duniani,wamiliki wa sarafu maarufu ya DOLLA($).

Huu hapa chini ni orodha ya majimbo yote 50 nchini Marekani,na miji yao:

1. Alabama - Montgomery
2. Alaska - Juneau
3. Arizona - Phoenix
4. Arkansas - Little Rock
5. California - Sacramento
6. Colorado - Denver
7. Connecticut - Hartford
8. Delaware - Dover
9. Florida - Tallahassee
10. Georgia - Atlanta
11. Hawaii - Honolulu
12. Idaho - Boise
13. Illinois - Springfield
14. Indiana - Indianapolis
15. Iowa - Des Moines
16. Kansas - Topeka
17. Kentucky - Frankfort
18. Louisiana - Baton Rouge
19. Maine - Augusta
20. Maryland - Annapolis
21. Massachusetts - Boston
22. Michigan - Lansing
23. Minnesota - Saint Paul
24. Mississippi - Jackson
25. Missouri - Jefferson City
26. Montana - Helena
27. Nebraska - Lincoln
28. Nevada - Carson City
29. New Hampshire - Concord
30. New Jersey - Trenton
31. New Mexico - Santa Fe
32. New York - Albany
33. North Carolina - Raleigh
34. North Dakota - Bismarck
35. Ohio - Columbus
36. Oklahoma - Oklahoma City
37. Oregon - Salem
38. Pennsylvania - Harrisburg
39. Rhode Island - Providence
40. South Carolina - Columbia
41. South Dakota - Pierre
42. Tennessee - Nashville
43. Texas - Austin
44. Utah - Salt Lake City
45. Vermont - Montpelier
46. Virginia - Richmond
47. Washington - Olympia
48. West Virginia - Charleston
49. Wisconsin - Madison
50. Wyoming - Cheyenne

JIMBO LA ALASKA:
Alaska ni jimbo lililopo katika eneo la mbali ya Kaskazini magharibi mwa Marekani Kasakazini.Pia jimbo hili limetengwa kutoka eneo la USA na nchi ya Kanada.Yaani kufika eneo la jimbo hilo,lazima upitie nchi ya Kanada.Ni jimbo kubwa zaidi ya majimbo yote nchini Marekani,lakini ni jimbo lenye watu wachache sana.

Naamini tumejifunza kitu🙏🏿🙏🏿
Shukrani sana mkuu.
 
Jimbo la Alaska zamani likikuwa nchi ya Urusi mpaka mwaka 1867 ambapo USA alinunua jimbo hilo kwa dola milion 7.5 warusi hadi leo wanajuta.
Unaweza kutoka Marekani hadi Urusi katika kipindi cha baridi ambapo maji yanayoitenga USA na Urusi yanakuwa yameganda.
Kwenye bara la Marekani kaskazini Canada ndiyo nchi kubwa kuliko zote ingawa watu wengi duniani wanafikiri USA ndiyo kubwa zaidi.
 
Katika Majimbo hayo yote 50 Carlifonia ndo baba lao.
Hi Carlifonia Ina uchumi mkubwa Sana na ipo siku itakuja kujitenga na U.S.A na kujitegemea Kama nchi.Ni suala la Muda tu.
 
Good! Pia los angeles inajulikana kama robbery capital of the world. Ikiwa na maana ni eneo ambalo uhalifu wa wizi wa ma benki unatendeka sana.
 
Habar Ya mchana JF nimewaletea Elimu Ya Kujifunza hapa.

ELIMU YA BURE: FAHAMU KUHUSU MAREKANI KASKAZINI, MAREKANI KUSINI, USA, NA JIMBO LA ALASKA.
-------------------------------------------------------
Naamini sote tunataka kufahamu vizuri kuhusu tofauti kijiogorafia kati ya Marekani kaskazini,Marekani kusini,USA na jimbo la Alaska.

MAREKANI KASKAZINI:
Marekani kaskazini ni moja wapo ya mabara saba duniani.Ni bara ambalo lina nchi takriban 23.

Imepakana na bahari la Aktiki upande wa kaskazini,Atlantiki upande wa mashariki, Pasifiki upande wa magharibi na bara la Marekani kusini upande wa Kusini mashariki.

Baadhi ya nchi katika bara hilo ni Kanada,USA, Mexico na nyingine nyingi katika eneo la Marekani ya kati na Karibea.

MAREKANI KUSINI:
Amerika kusini au Marekani kusini lipo eneo ambalo linapakana na bahari la Karibean upande wa Kasakzini magharibi na Atlantiki upande wa Kaskazini mashariki.
Ni bara ambalo lina nchi 12 tu, nchi hizo ni pamoja na Brazil,Argentina,Peru na nyingine nyingi.

USA (UNITED STATES OF AMERICA):
Hii ni nchi iliyopo eneo la Marekani Kaskazini.Ni nchi yenye majimbo makubwa 50 na wilaya maalum ya kiutawala(federal) ya Washington DC,ambayo pia ndo jiji kuu la nchi hiyo.

USA ndo nchi yenye usawishi mkubwa kuliko zote duniani,wamiliki wa sarafu maarufu ya DOLLA($).

Huu hapa chini ni orodha ya majimbo yote 50 nchini Marekani,na miji yao:

1. Alabama - Montgomery
2. Alaska - Juneau
3. Arizona - Phoenix
4. Arkansas - Little Rock
5. California - Sacramento
6. Colorado - Denver
7. Connecticut - Hartford
8. Delaware - Dover
9. Florida - Tallahassee
10. Georgia - Atlanta
11. Hawaii - Honolulu
12. Idaho - Boise
13. Illinois - Springfield
14. Indiana - Indianapolis
15. Iowa - Des Moines
16. Kansas - Topeka
17. Kentucky - Frankfort
18. Louisiana - Baton Rouge
19. Maine - Augusta
20. Maryland - Annapolis
21. Massachusetts - Boston
22. Michigan - Lansing
23. Minnesota - Saint Paul
24. Mississippi - Jackson
25. Missouri - Jefferson City
26. Montana - Helena
27. Nebraska - Lincoln
28. Nevada - Carson City
29. New Hampshire - Concord
30. New Jersey - Trenton
31. New Mexico - Santa Fe
32. New York - Albany
33. North Carolina - Raleigh
34. North Dakota - Bismarck
35. Ohio - Columbus
36. Oklahoma - Oklahoma City
37. Oregon - Salem
38. Pennsylvania - Harrisburg
39. Rhode Island - Providence
40. South Carolina - Columbia
41. South Dakota - Pierre
42. Tennessee - Nashville
43. Texas - Austin
44. Utah - Salt Lake City
45. Vermont - Montpelier
46. Virginia - Richmond
47. Washington - Olympia
48. West Virginia - Charleston
49. Wisconsin - Madison
50. Wyoming - Cheyenne

JIMBO LA ALASKA:
Alaska ni jimbo lililopo katika eneo la mbali ya Kaskazini magharibi mwa Marekani Kasakazini.Pia jimbo hili limetengwa kutoka eneo la USA na nchi ya Kanada.Yaani kufika eneo la jimbo hilo,lazima upitie nchi ya Kanada.Ni jimbo kubwa zaidi ya majimbo yote nchini Marekani,lakini ni jimbo lenye watu wachache sana.

Naamini tumejifunza kitu[emoji1545][emoji1545]
Alaska ilinunuliwa toka urusi baada ya urusi kua na hali mbaya kiuchumi
 
Habar Ya mchana JF nimewaletea Elimu Ya Kujifunza hapa.

ELIMU YA BURE: FAHAMU KUHUSU MAREKANI KASKAZINI, MAREKANI KUSINI, USA, NA JIMBO LA ALASKA.
-------------------------------------------------------
Naamini sote tunataka kufahamu vizuri kuhusu tofauti kijiogorafia kati ya Marekani kaskazini,Marekani kusini,USA na jimbo la Alaska.

MAREKANI KASKAZINI:
Marekani kaskazini ni moja wapo ya mabara saba duniani.Ni bara ambalo lina nchi takriban 23.

Imepakana na bahari la Aktiki upande wa kaskazini,Atlantiki upande wa mashariki, Pasifiki upande wa magharibi na bara la Marekani kusini upande wa Kusini mashariki.

Baadhi ya nchi katika bara hilo ni Kanada,USA, Mexico na nyingine nyingi katika eneo la Marekani ya kati na Karibea.

MAREKANI KUSINI:
Amerika kusini au Marekani kusini lipo eneo ambalo linapakana na bahari la Karibean upande wa Kasakzini magharibi na Atlantiki upande wa Kaskazini mashariki.
Ni bara ambalo lina nchi 12 tu, nchi hizo ni pamoja na Brazil,Argentina,Peru na nyingine nyingi.

USA (UNITED STATES OF AMERICA):
Hii ni nchi iliyopo eneo la Marekani Kaskazini.Ni nchi yenye majimbo makubwa 50 na wilaya maalum ya kiutawala(federal) ya Washington DC,ambayo pia ndo jiji kuu la nchi hiyo.

USA ndo nchi yenye usawishi mkubwa kuliko zote duniani,wamiliki wa sarafu maarufu ya DOLLA($).

Huu hapa chini ni orodha ya majimbo yote 50 nchini Marekani,na miji yao:

1. Alabama - Montgomery
2. Alaska - Juneau
3. Arizona - Phoenix
4. Arkansas - Little Rock
5. California - Sacramento
6. Colorado - Denver
7. Connecticut - Hartford
8. Delaware - Dover
9. Florida - Tallahassee
10. Georgia - Atlanta
11. Hawaii - Honolulu
12. Idaho - Boise
13. Illinois - Springfield
14. Indiana - Indianapolis
15. Iowa - Des Moines
16. Kansas - Topeka
17. Kentucky - Frankfort
18. Louisiana - Baton Rouge
19. Maine - Augusta
20. Maryland - Annapolis
21. Massachusetts - Boston
22. Michigan - Lansing
23. Minnesota - Saint Paul
24. Mississippi - Jackson
25. Missouri - Jefferson City
26. Montana - Helena
27. Nebraska - Lincoln
28. Nevada - Carson City
29. New Hampshire - Concord
30. New Jersey - Trenton
31. New Mexico - Santa Fe
32. New York - Albany
33. North Carolina - Raleigh
34. North Dakota - Bismarck
35. Ohio - Columbus
36. Oklahoma - Oklahoma City
37. Oregon - Salem
38. Pennsylvania - Harrisburg
39. Rhode Island - Providence
40. South Carolina - Columbia
41. South Dakota - Pierre
42. Tennessee - Nashville
43. Texas - Austin
44. Utah - Salt Lake City
45. Vermont - Montpelier
46. Virginia - Richmond
47. Washington - Olympia
48. West Virginia - Charleston
49. Wisconsin - Madison
50. Wyoming - Cheyenne

JIMBO LA ALASKA:
Alaska ni jimbo lililopo katika eneo la mbali ya Kaskazini magharibi mwa Marekani Kasakazini.Pia jimbo hili limetengwa kutoka eneo la USA na nchi ya Kanada.Yaani kufika eneo la jimbo hilo,lazima upitie nchi ya Kanada.Ni jimbo kubwa zaidi ya majimbo yote nchini Marekani,lakini ni jimbo lenye watu wachache sana.

Naamini tumejifunza kitu🙏🏿🙏🏿
Duh, hii ndiyo Jografia ya kizazi hiki cha dot com? Kweli elimu yetu imekuwa ya Voda fasta! Nashangaa hata wachangiaji wengine hawajaliona hili wanaendelea kumwaga pongezi kwa mleta uzi! Ukweli ni kwamba hayo mabara yenye majina hayapo! Hakuna Bara linaitwa Marekani ya Kusini wala Marekani ya Kaskazini! Ukweli ni kwamba Marekani ni jina la USA kwa Kiswahili na hayo mabara uliyotaja usahihi wake ni Amerika ya Kaskazini na Amerika ya Kusini.
 
Duh, hii ndiyo Jografia ya kizazi hiki cha dot com? Kweli elimu yetu imekuwa ya Voda fasta! Nashangaa hata wachangiaji wengine hawajaliona hili wanaendelea kumwaga pongezi kwa mleta uzi! Ukweli ni kwamba hayo mabara yenye majina hayapo! Hakuna Bara linaitwa Marekani ya Kusini wala Marekani ya Kaskazini! Ukweli ni kwamba Marekani ni jina la USA kwa Kiswahili na hayo mabara uliyotaja usahihi wake ni Amerika ya Kaskazini na Amerika ya Kusini.
Dogo ni mweupe
 
Jimbo la Alaska zamani likikuwa nchi ya Urusi mpaka mwaka 1867 ambapo USA alinunua jimbo hilo kwa dola milion 7.5 warusi hadi leo wanajuta.
Unaweza kutoka Marekani hadi Urusi katika kipindi cha baridi ambapo maji yanayoitenga USA na Urusi yanakuwa yameganda.
Kwenye bara la Marekani kaskazini Canada ndiyo nchi kubwa kuliko zote ingawa watu wengi duniani wanafikiri USA ndiyo kubwa zaidi.
Vipi, jimbo lilinunuliwa likiwa na raia wake wa Urusi, au liliuzwa jimbo tupu?
 
Duh, hii ndiyo Jografia ya kizazi hiki cha dot com? Kweli elimu yetu imekuwa ya Voda fasta! Nashangaa hata wachangiaji wengine hawajaliona hili wanaendelea kumwaga pongezi kwa mleta uzi! Ukweli ni kwamba hayo mabara yenye majina hayapo! Hakuna Bara linaitwa Marekani ya Kusini wala Marekani ya Kaskazini! Ukweli ni kwamba Marekani ni jina la USA kwa Kiswahili na hayo mabara uliyotaja usahihi wake ni Amerika ya Kaskazini na Amerika ya Kusini.
Ni kweli; Marekani (USA) ni nchi iliyoko bara la Amerika ya Kaskazini.
 
Habar Ya mchana JF nimewaletea Elimu Ya Kujifunza hapa.

ELIMU YA BURE: FAHAMU KUHUSU MAREKANI KASKAZINI, MAREKANI KUSINI, USA, NA JIMBO LA ALASKA.
-------------------------------------------------------
Naamini sote tunataka kufahamu vizuri kuhusu tofauti kijiogorafia kati ya Marekani kaskazini,Marekani kusini,USA na jimbo la Alaska.

MAREKANI KASKAZINI:
Marekani kaskazini ni moja wapo ya mabara saba duniani.Ni bara ambalo lina nchi takriban 23.

Imepakana na bahari la Aktiki upande wa kaskazini,Atlantiki upande wa mashariki, Pasifiki upande wa magharibi na bara la Marekani kusini upande wa Kusini mashariki.

Baadhi ya nchi katika bara hilo ni Kanada,USA, Mexico na nyingine nyingi katika eneo la Marekani ya kati na Karibea.

MAREKANI KUSINI:
Amerika kusini au Marekani kusini lipo eneo ambalo linapakana na bahari la Karibean upande wa Kasakzini magharibi na Atlantiki upande wa Kaskazini mashariki.
Ni bara ambalo lina nchi 12 tu, nchi hizo ni pamoja na Brazil,Argentina,Peru na nyingine nyingi.

USA (UNITED STATES OF AMERICA):
Hii ni nchi iliyopo eneo la Marekani Kaskazini.Ni nchi yenye majimbo makubwa 50 na wilaya maalum ya kiutawala(federal) ya Washington DC,ambayo pia ndo jiji kuu la nchi hiyo.

USA ndo nchi yenye usawishi mkubwa kuliko zote duniani,wamiliki wa sarafu maarufu ya DOLLA($).

Huu hapa chini ni orodha ya majimbo yote 50 nchini Marekani,na miji yao:

1. Alabama - Montgomery
2. Alaska - Juneau
3. Arizona - Phoenix
4. Arkansas - Little Rock
5. California - Sacramento
6. Colorado - Denver
7. Connecticut - Hartford
8. Delaware - Dover
9. Florida - Tallahassee
10. Georgia - Atlanta
11. Hawaii - Honolulu
12. Idaho - Boise
13. Illinois - Springfield
14. Indiana - Indianapolis
15. Iowa - Des Moines
16. Kansas - Topeka
17. Kentucky - Frankfort
18. Louisiana - Baton Rouge
19. Maine - Augusta
20. Maryland - Annapolis
21. Massachusetts - Boston
22. Michigan - Lansing
23. Minnesota - Saint Paul
24. Mississippi - Jackson
25. Missouri - Jefferson City
26. Montana - Helena
27. Nebraska - Lincoln
28. Nevada - Carson City
29. New Hampshire - Concord
30. New Jersey - Trenton
31. New Mexico - Santa Fe
32. New York - Albany
33. North Carolina - Raleigh
34. North Dakota - Bismarck
35. Ohio - Columbus
36. Oklahoma - Oklahoma City
37. Oregon - Salem
38. Pennsylvania - Harrisburg
39. Rhode Island - Providence
40. South Carolina - Columbia
41. South Dakota - Pierre
42. Tennessee - Nashville
43. Texas - Austin
44. Utah - Salt Lake City
45. Vermont - Montpelier
46. Virginia - Richmond
47. Washington - Olympia
48. West Virginia - Charleston
49. Wisconsin - Madison
50. Wyoming - Cheyenne

JIMBO LA ALASKA:
Alaska ni jimbo lililopo katika eneo la mbali ya Kaskazini magharibi mwa Marekani Kasakazini.Pia jimbo hili limetengwa kutoka eneo la USA na nchi ya Kanada.Yaani kufika eneo la jimbo hilo,lazima upitie nchi ya Kanada.Ni jimbo kubwa zaidi ya majimbo yote nchini Marekani,lakini ni jimbo lenye watu wachache sana.

Naamini tumejifunza kitu🙏🏿🙏🏿
Nchi 23 za Marekani Kaskazini ni ncha gani hizo !??
 
Duh, hii ndiyo Jografia ya kizazi hiki cha dot com? Kweli elimu yetu imekuwa ya Voda fasta! Nashangaa hata wachangiaji wengine hawajaliona hili wanaendelea kumwaga pongezi kwa mleta uzi! Ukweli ni kwamba hayo mabara yenye majina hayapo! Hakuna Bara linaitwa Marekani ya Kusini wala Marekani ya Kaskazini! Ukweli ni kwamba Marekani ni jina la USA kwa Kiswahili na hayo mabara uliyotaja usahihi wake ni Amerika ya Kaskazini na Amerika ya Kusini.
You stupidy
 
New coupe, no roof, playa what's my name?
Now Brooklyn, Queens, Manhattan, Staten
Uptown, what now?! Let's make it happen! New York mazafantaz!!

If you can make it here, you can make it anywhere
We still here!! And we buildin four more new towers!!!
 
Back
Top Bottom