Fahamu kuhusu marekani Kaskazini,marekani Kusini,USA,Na Jimbo la ALASKA

New coupe, no roof, playa what's my name?
Now Brooklyn, Queens, Manhattan, Staten
Uptown, what now?! Let's make it happen! New York mazafantaz!!

If you can make it here, you can make it anywhere
We still here!! And we buildin four more new towers!!!

Yeah, I'm out that Brooklyn, now I'm down in Tribeca
Right next to De Niro, but I'll be hood forever
I'm the new Sinatra, and since I made it here
I can make it anywhere, yeah, they love me everywhere
I used to cop in Harlem, hola, my Dominicanos (Dímelo)
Right there up on Broadway, brought me back to that McDonald's
Took it to my stash spot, 560 State Street
Catch me in the kitchen, like a Simmons whippin' pastry
Cruisin' down 8th Street, off-white Lexus
Drivin' so slow, but BK is from Texas
Me? I'm out that Bed-Stuy, home of that boy Biggie
Now I live on Billboard and I brought my boys with me
Say "What up?" to Ty Ty, still sippin' Mai Tais
Sittin' courtside, Knicks and Nets give me high fives
Nigga, I be spiked out (Come on), I could trip a referee (Come on)
Tell by my attitude (Come on) that I'm most definitely from
from
 
New York!!!!!!
 
Alaska ilinunuliwa toka urusi baada ya urusi kua na hali mbaya kiuchumi
Ilikuwa ni wakati wa vita, Urusi ilihofia UK anaenda kuiteka Alaska na kuiunganisha na Canada, akaamua bora ajiwahi na kumuuzia US ili angalau aambulie hela akafanyie mambo mengine kuliko apokonywe bure tu.
 
Miaka ya nyuma Alaska ilikuwa Urusi,miaka ya nyuma Marekani ililinunua jimbo hilo kutoka Urusi na hata waziri wa fedha wa marekani wa miaka hiyo alilaumiwa sana kwa uamuzi wa kutoa pesa kununua jimbo hilo na wananchi wa Marekani, lakini baadae uamuzi huo umeinufaisha Marekani kwani Alaska ina utajiri mkubwa wa mafuta na gesi, hata wenyeji wa Alaska wanatofauti sana na wale wa Marekani ambao ni wahindi wekundu, wa Alaska wana sura tofauti,sura zao ni kama za waeskimo
 
Katika Majimbo hayo yote 50 Carlifonia ndo baba lao.
Hi Carlifonia Ina uchumi mkubwa Sana na ipo siku itakuja kujitenga na U.S.A na kujitegemea Kama nchi.Ni suala la Muda tu.
Mkuu acha porojo New York ndio jimbo lenye uchumi mkubwa zaidi Marekani na tukisema Marekani basi ni duniani
 
New coupe, no roof, playa what's my name?
Now Brooklyn, Queens, Manhattan, Staten
Uptown, what now?! Let's make it happen! New York mazafantaz!!

If you can make it here, you can make it anywhere
We still here!! And we buildin four more new towers!!!
Kwenda Staten ni ferry boat ya bure, zina rangi ya njano,ukiwa Brooklyn bridge na Statue Of Liberty unaziona zileee, Queens ndio nyumbani asilia ya mwamba Trump
 
Hii elimu nimeipenda, ningependa kujua kuhusu Urusi , kwann Urusi ni nchi kubwa Sana? Sasa hiv ndo ilikatwakatwa 1990 soviet ilivovunjika ndo tukatapata sijui Moldova, croatio,serbia n.k mpk nahic mruss akishindwa vita na Ukraine basi wataikata tena kupunguza ukubwa wake na nguvu yake , elezea kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…