Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,272
- 1,120
Unajua matumizi ya overdrive kwanza?
Kwa ufahamu wangu OD ikiwa off yaani taa kwenye dashboard inawaka fuel consumption inakuwa low na speed inafika hadi 130 km/h na fuel rotation haipandi kuzidi 3 lakini OD ikiwa ON yaani taa imezima fuel consumption lazima itakuwa kubwa sbb umeweka extra power na hapo speed ni hadi unamaliza dashboard na rotation inafika 5.
USHAURI: usiendeshe gari OD ikiwa ON kwa maeneo ya mjini sbb ni wastage of fuel na kama upo long safar weka OD ON kama una overtake tu na si vinginevyo.
taa ikiwaka overdrive iko off. Hiyo ni kwa magari yote labda hilo lako ndio tofauti.Namaanisha taa ikiwaka iko on
"OD" is referring to the OverDrive function of your transmission. This is used for highway driving to conserve fuel and achieve better fuel economy.
"OD Off" is telling you that the OverDrive has been turned off.
This is usually done by a button on the gear shifter or a particular gear shift position marked with "OD
"OD" is referring to the OverDrive function of your transmission. This is used for highway driving to conserve fuel and achieve better fuel economy.
"OD Off" is telling you that the OverDrive has been turned off.
This is usually done by a button on the gear shifter or a particular gear shift position marked with "OD
"OD" is referring to the OverDrive function of your transmission. This is used for highway driving to conserve fuel and achieve better fuel economy.
"OD Off" is telling you that the OverDrive has been turned off.
This is usually done by a button on the gear shifter or a particular gear shift position marked with "OD
Kwa ufahamu wangu OD ikiwa off yaani taa kwenye dashboard inawaka fuel consumption inakuwa low na speed inafika hadi 130 km/h na fuel rotation haipandi kuzidi 3 lakini OD ikiwa ON yaani taa imezima fuel consumption lazima itakuwa kubwa sbb umeweka extra power na hapo speed ni hadi unamaliza dashboard na rotation inafika 5.
USHAURI: usiendeshe gari OD ikiwa ON kwa maeneo ya mjini sbb ni wastage of fuel na kama upo long safar weka OD ON kama una overtake tu na si vinginevyo.
mandella upo wrongMagari mengi taa ya OD inapaswa kuwaka Kama Ikimaanisha Over drive iko Off
Na iwe Imezima ikamaanisha OverDrive iko On.
Sasa nimegundua wengi wakiona taa inawaka huminya Button ili izime Kumbe ndio wameweka kwnye OD.
Ukiendesha hakikisha kwenye dashboard hakuna taa yoyote inawaka zaidi ya zile za gearliver tu.
Magari mengi taa ya OD inapaswa kuwaka Kama Ikimaanisha Over drive iko Off
Na iwe Imezima ikamaanisha OverDrive iko On.
Sasa nimegundua wengi wakiona taa inawaka huminya Button ili izime Kumbe ndio wameweka kwnye OD.