Hapo wakuu hupaswi kuchanganyikiwa, kama sio mtaalamu wewe hakikisha hakuna taa inayowaka kwenye dashboard, hizi gari ni full automatic, yote unayofikiria inaweza kufanya yenyewe bila msaada wako, hicho kibatani cha OD/ON waliweka kwa ajili ya watu wanaotaka kuwa na control zaidi kama gari ya manual.
Ukitaka nguvu zaidi we kanyaga mafuta ghafla yenyewe itatambua kuwa unahitaji nguvu zaidi, itabadilisha gia kutoka ya juu kuja chini, ukiachia mafuta inajua kuwa unapunguza mwendo inabadili gia ili upate engine brake, kwa kifupi hupaswi kufanya chochote zaidi ya kuongeza mafuta, brake na kunyoosha stearing. Hayo mengine waachieni wataalam!
Ukitaka nguvu zaidi we kanyaga mafuta ghafla yenyewe itatambua kuwa unahitaji nguvu zaidi, itabadilisha gia kutoka ya juu kuja chini, ukiachia mafuta inajua kuwa unapunguza mwendo inabadili gia ili upate engine brake, kwa kifupi hupaswi kufanya chochote zaidi ya kuongeza mafuta, brake na kunyoosha stearing. Hayo mengine waachieni wataalam!