Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic


Mkuu maelezo yako ni mazuri sana ila nadhani kwenye suala la uwakaji wa taa ktk dashboard nadhani you're somehow wrong...pindi orange light/green light ikiwaka ina maana OD is on and vice versa.
 
na mie nimeamua kusubiri supp, maana somo gumu kweli, ukizingatia hii GX100 EXEED, ina button imeandikwa power na ka gear kameandikwa CRUISE, UKIZINGATIA NI 3.0 L. linakumywa wese kama jini ! Sijui hivyo vibutton vinamwaga mafuta nje !?
 
It should be used at highway speeds of over 55 mph(80Kph), but its OK to have it on all the time since your car wont shift into overdrive until the conditions are right (speed and RPM).


Thanks wakuu.
 
Kireka, iyo M manake gear unazipanga utakavyo kama vile manual car. Kunakuwa na buttons kwenye usukani upande wa kulia na kushoto, moja ni "up" na nyengine ni "down"
 
Kwenye harrier mpangilio wa gear kuna P R D then M ambayo ipo kwa ndani kidogo, ukiweka kwenye M inadisplay manual kwenye dash board na mlio unabadilika, mwenye kujua matumizi yake tafadhali.

ukiweka huko kwenye manual gari inakuwa inabadili gear kwa utashi wako. Tofauti na manual zingine hiyo inakuwa inaclutch yake yenyewe. Kazi yako ni kuwa unakisukuma kirungu kwenda mbele au chini ili kubadili gear. Itakuwa inatumha wese vizuri kuliko kwenye auto mode. Jaribu kupata mtu aliyenunua gari jipya upate manual book au google utafute manual book utaweza kujifunza vyema zaidi.
 
Mimi nina GAIA OD inakuwa OFF taa kwenye dashboard inapozima na OD inakuwa ON taa kwenye dash board inapokuwa imezima. huwa nachanganyikiwa kwani nimeambiwa kwa hali ya kawaida Dashboard inatakiwa iwe OFF bila taa kuwaka
 
Cruise ni cruise control. Ukiiweka on maana yake kama uko speed fulani unamaintain hiyo hiyo. Kama ni 50
hai tapanda au kushuka. Kama ni 160 the same. Ni kwa ajili ya highway. Ukishaweka unatoa mguu kwenye moto na ukikanyaga brake inajitoa yenyewe. Kwa huku uswazi itakuuwa mkuu.
 
Mimi nina RAV 4 yangu naona inakula mafuta sana,nifanyeje??ni full time 4WD
 
Mimi ngalangala langu halina kitufe cha overdrive kabisa kwahiyo naendesha nikiwa over drive OFF au ON?? naomba jibu bila kunikorofisha

naona umejipa jina sawa na gari, lazima itakua mkongwe, its funy hutaki kukorofishwa, authoritative style, i like it
 
heshima mbele wakuu.nilikua nahitaji kujua kuhusu matumizi ya overdrive na je ni kweli gari ukiweka overdrive hutumia mafuta mengi?please kwa kama unauelewa na hili jambo utufahamishe..
 
General
Nadhani ile indication ya "overdrive" Huwa inawasumbua watu wengi Kuielewa!! Kwa Kawaida kama ile taa Haiwaki, Normal condition ndio Inakuwa gari Kialisia ipo kwenye Overdrive!! Na ukiwasha button ya overdrive inakuja message inasema "overdrive off!!" Means muda huo hauko kwenye overdrive na taa inakuwa inaonyesha kwenye Dashboard!! Na always kwenye dashboard kukiwa na any lighting ikiwa "on" hii inamaanisha something is not Normal!!

Overdrive
Overdrive maana yake ni kuwa katika uendeshaji wa gari unakuwa umeruhusu kwenye Mwendo fulani (Say 100km/hr and above) mzunguko wa Engine Unakuwa mdogo kuliko Mzunguko wa Gearbox!! Ikimaanisha mzunguko mmoja wa engine ni sawa na mizunguko miwili ya Gearbox (Mfano). kwa kawaida gari ikianza kuacellarate (Mwendo) Huwa mzunguko wa Engine ni Mkubwa kuliko Mzunguko wa Gearbox, na inapofika gear no 4 (Vehicle speed) Engine speed inakuwa sawa na Gearbox speed!! Then kama gari inakuwa kwenye Overdrive Then Unaweza kuaccelarate hadi gear namba 5 na 6 ambazo hizi ni overspeed!! Kumaanisha mzunguko wa Gearbox ni mkubwa kuliko mzunguko wa Engine!! - Note Engine is the source of Motion so you are over the speed of Engine!!

Overdrive "off"
Hii inamaanisha imeilazimisha gari yako iende hadi Gear no 4 bila kuiruhusu gear no 5 na 6 (Kwa baadhi ya Magari) Hivyo kitendo hicho kinafanya gari kutoa mlio Mkali kwani Unapokuwa kwenye gear no 4 na mwendo wa 120km/h unakuwa unailazimisha engine kuzunguka sana na Hivyo unaweza kuwa na revolution ya up to 4.5 rpm to 5 rpm hence more consumption of fuel hence more energy!!!

Remarks on Overdrive "off"

Hii inashauriwa Kutumiwa kama kuna sehemu unahitaji kulipa gari Nguvu Kubwa kwa kipindi Kifupi i.e Kama Kupanda Mlima Kitonga kwa speed Kubwa na si vinginevyo!!
Kama una swali Jingine Uliza!!
 
Overdrive (OD) is a term used to describe a mechanism that allows an automobile to cruise at sustained speed with reduced engine RPM, leading to better fuel economy, lower noise and lower wear.[SUP][1][/SUP] Use of the term is confused, as it is applied to several different, but related, meanings.[SUP][1][/SUP] The most fundamental meaning is that of an overall gear ratio between engine and wheels, such that the car is now over-geared and can no longer reach its potential top speed, i.e. the car could travel faster if it were in a lower gear, with the engine turning more quickly. In some cases this implies a second definition is also true, that the gearbox output driveshaft is rotating faster than the original engine RPM. This later definition was common in the past, but many cars no longer have a driveshaft and it is not technically correct.[SUP][1][/SUP]

In the era of front-engine, rear-wheel drive layouts, the device for achieving an overdrive transmission was usually a small separate gearbox, attached to the rear of the main gearbox and controlled by its own shift lever or electrical actuation button. These were often an optional extra on some models of the same car. As popular cars became faster relative to legal limits and fuel costs became more important, particularly after the 1973 oil crisis, the use of 5-speed gearboxes became more common in mass-market cars, with the 5th gear being an overdrive, eliminating the need for a separate gearbox.[SUP][1][/SUP]

With the popularity of front wheel drive cars, the separate gearbox and final drive have merged into a single transaxle. However the fundamental meaning, that of an overall ratio higher than the ratio for maximum speed, still applies.[SUP][1][/SUP] Although the deliberate labelling of an overdrive is now rare, the underlying feature is now found across all cars.
 

Excellent!!!
 
Lkn huu uzi ulishaletwa na kujadiliwa kwa kina hapa.
 

kama ni mwalimu basi hakuna mwanafunzi hatafeli. Umenisaidia
 
 

Kwani huwezi kuelezea teknologia yako bila kuponda magari yetu kwamba ni ya zamani? Ushindwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…