Nijuavyo mimi O/D Inatumika kuongeza mkandamizo wa pistoni hivyo kuipa engine nguvu.
Inakua On pale unapominya kitufe cha O/D na kwenye dashboard taa ya O/D itawaka na kuonyesha maandishi ya O/D OFF.
Na kitaalamu inatakiwa uminye O/D gari ikiwa kunzia spee 40 na kuendelea.
Inakua On pale unapominya kitufe cha O/D na kwenye dashboard taa ya O/D itawaka na kuonyesha maandishi ya O/D OFF.
Na kitaalamu inatakiwa uminye O/D gari ikiwa kunzia spee 40 na kuendelea.