O/D, hii ni function inayokupa uchaguzi. Au gari iwe nyepesi na kwenda haraka ama iende kawaida. Unapoendesha gari na kuhisi imekuwa nyepesi basi angalia kwenye dash-board ili ujue je, gari iko kwenye O/D au la. Utajuaje?
Fanya mazoezi ukiwa ktk mahegesho swicht on kisha bonyeza button ya O/D (itabonyea ndani) na angalia dashi bodi inaonyesha nini. Utakachokiona ndicho kitakachokuambia gari iko kwenye O/D.
Ikiwa imebonyea. kisha ibonyeze tena ile button (itachomoza nje), angalia dashi bodi inaonyesha nini. Hii itaonyesha gari haiko kwenye O/D. Matumizi ya O/D. ni kuifanya gari iwe nyepesi na kwenda haraka.
Ideal kama unasafari za high way na siyo misongamano kama ya Dar. Kwa hiyo ukigundua kuwa uko kwenye O/D sehemu kama Traffic jam za Dar unashauriwa kuiondoa O/D. Kuhusu wese: O/D inakula wese dogo mno kuliko hata la AC.
Fanya mazoezi ukiwa ktk mahegesho swicht on kisha bonyeza button ya O/D (itabonyea ndani) na angalia dashi bodi inaonyesha nini. Utakachokiona ndicho kitakachokuambia gari iko kwenye O/D.
Ikiwa imebonyea. kisha ibonyeze tena ile button (itachomoza nje), angalia dashi bodi inaonyesha nini. Hii itaonyesha gari haiko kwenye O/D. Matumizi ya O/D. ni kuifanya gari iwe nyepesi na kwenda haraka.
Ideal kama unasafari za high way na siyo misongamano kama ya Dar. Kwa hiyo ukigundua kuwa uko kwenye O/D sehemu kama Traffic jam za Dar unashauriwa kuiondoa O/D. Kuhusu wese: O/D inakula wese dogo mno kuliko hata la AC.