Fahamu kuhusu Private Jets

Fahamu kuhusu Private Jets

Ndege hutegemea na config ndani na uwezo wa kubeba mizigo.

Kuhusu kuruka yategemea na ukubwa wa tank la mafuta na utumiaji wa mafuta kwa saa.

Hivyo kwa taarifa zaidi google C208 Caravan, C152/172/182A,T
Ha ha ha huko gugo mchawi lugha ha ha ha
 
1.Ile ya Trump iko kundi lipi mkuu.?

2.Ile ilyomuua ndugu yetu Bob Sambeke nayo kundi lipi?
 
Haswaa ni nzuri sana.


😂😂😂 Never say never comrade.
Haya madude huwa nayaangalia sana kwenye aviation channels nilizo subscribe youtb , basi naishia kuyavutia hisia yaani nami najihisi naruka futi 43,000 kutoka dsm hadi ulaya yani with bright blue sky dah. Hizi fantasy hizi hadi muda mwingne najishtukia
 
Back
Top Bottom