Fahamu kuhusu Scania Buses VS Yutong, Kinglong, Zhongtong, Higer, Golden Dragon, Sunlong Buses

Alsaid ni mchina sio scania, sauli kuna benz na scania hilo imani sijalijua bado kuhusu kuwahi ni dereva tu,ruti ya mbeya siku zote wanachuana sauli na goden dia na anaeanza kufika mbea ni goden dia kisha ndio sauli ila hayo goden dia yapo mengi sana na mengine yanachelewa kufika. mengine nadhani yanaenda tunduma na sumbawanga kama sikosei

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anae anza fika Mbeya ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami bado nakazia Benz katika Fuel Consumption, high altitude performance, Durability itakuthibitishia hayo. Tukichukua kabisa Same engine with same specifications.

Nilifanya utafiti mara nyingi zaidi na madereva kujua katika actual performance kati ya Benz, Man, Scania na Volvo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Actross ni bora kuliko hiyo R kwa sababu nimeendesha zote, hiyo R magonjwa hapo ndio kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu actross ni bora sababu nyingi zinakuja kwetu zikiwa immaculate condition, ni wachache pia wanaweza kununua sababu mtumba wake unakuwa ghali, R series huwa tunaona mbovu kwetu sababu nyingi zinakuwa zimwtumika sana ulaya, trust me nyingi zinakuwa over million, ndipo first owner anaamua kuuza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mercedes bila ubishi inasifika kwa good fuel consuption, lakini katika truck industry , fuel consuptio n sio input pekee, Kuna uptime , delivery time na reliability.

Irish fridge operator will always prefer scania v8, japokuwa ina consuption mbaya, lakini wana uhakika ina uwezo wa kudeliver ontime ,mizigo sensitive


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trans Africa hana miaka miwili na zile benz songea , ana breakdown za kutosha ,nyingine hadi zimevunja chassis,

Naifahamu scania 143 njia hiyo ambayo ilifaya kazi toka mwaka 2009,hadi imekuja kuuzwa mwaka juzi mind you the last 143 kutengenezwa ilikuwa mwaka 1996.

Nafahamu pia scania njia hiyo ambayo ilikuja mtumba mwaka 2015, ikiwa na 1.6 milion km hadi leo lipo Lia km milioni mbili na kwa sasa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa Tanzania fuel consumption ndio kigezo namba moja. Ndiyo maana matajiri hawana mpango na ma V8 japo zipo chache.

Hauhitaji V8 engine for uptime deliverance tanzania kwa sababu zifuatazo:

-uzito wa mzigo wa kawaida unaoruhusiwa na tanroads ni around 30tonnes. Huu ni mzigo mwepesi sana hauhitaji the most powerful truck kuusafirisha.

-nauli ya mzigo ndiyo inayodetermine budget ya mafuta ya safari nzima and other expenses ambapo kibongo bongo nauli iko chini sana ikiendana na nature ya mizigo inayosafirishwa. Kwa kuwa hizo 6 straight inline pia zinaweza kutembea kwa speed inayoridhisha thats why zinakuwa most preferred.

-speed limit ya serikali kwa gari zinazoanzia tani 3.5 na kuendelea ni 80km/h, wakati huo huo makampuni mengi tu yalikuwa yamejiwekea speed limits zao kwa manufaa yao binafsi kabla hata ya serikali.

Kwa maelezo hayo, unaeza kuona hayo ma R420 bado yanaweza tu kufanya kazi vizuri tu. V8 engine tena za Benz zipo huko Congo wanakobeba zaidi ya tani 100 ambako scania v8 zimeprove failure[emoji38][emoji38][emoji38]. Hapa kwenye tani 30 ni matumizi mabaya ya gari.

Yote kwa yote naheshimu sana michango yako hapa jukwaani..
Asante



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwamba
Hua navutiwa na ufafanuzi hu

K,K
 
Benz ivunje chassis kwa tani 30 halafu scania iweze? Seriously? Scania hizi hizi ambazo hata zikikwama wanaogopa kukwamuana kisa wataua diff? Only a scania marketing officer can undermine the power of benz for the sake of customers. Uwe na muda mwema mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekuwa inarushusiwa kutuma picha za watu ningekutumia ila naweza kuingiza matatani

Benz ya trans africa , na imevunja chassis ukienda songea utaiona.


Hizo story za kuvunja diff, zimekaa kishabiki sana, kwanza scania wana option tele linapokuja kwenye drive train, ili kupunguza gharama likizo za lazima utawekewa diff kutokana na kazi yako, Kuna diff za hadi kubeba gross ya yani 150

Miaka ya 90 wakati scania ikiundwa pale tamco kibaha , diff specification zilikuwa ni heavy duty kama tutazikumbuka 113 310hp na 143 450hp, zote zilikuwa zinatoka na heavy duty diff na zilitamba sana njia ya kati wakati huo ni vumbi tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika vitu vingi ila nitajibu nitakavyoweza ,mosi ukiona mtu anajadili fuel consumption pekee kama input kwenye transport industry, jua huyo bado hajaielewwa vizuri

Kuna gari tele zina decent fuel figures lakini linapokuja swala la maintenance ni shida stralis ni mojawapo

V8 si kwa ajili ya ,mizigo mizito pekee na speed kama unavoainisha, bali pia zipo kwa ajili ya kufanya kazi za kawaida kiuwepesi zaid. Na ndio sababu huwa zina uwezo wa kudumu kwa miaka mingi

Hata huko ulaya kuna R730 nyingi sana zikiwa katika configuration ya 4x2 amabyo technically ni mzigo mdogo sana

Tani 30 kweli ni mzigo unaweza kubebwa na hata gari ya hp300, ila trust me itategemeana na huo mzigo utatoka wapi, ninazungumsia sana songea kwa sababu nadhan ndio njia ngumu kwa Tanzania , huko hata gari ya hp 420 huwa inapata shida
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa kutoa arguments zaidi kwasababu ufafanuzi mkubwa unatolewa katika Njia ambayo bado sijawahi kupita kabisa kwahiyo nakosa picha kamili (Songea). Ila inapendeza mkuu good sharing pia mkuu mlima wa mizeituni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo yako wakati mnaichukua ilikua KM ngapi ishatafuna huko Ulaya

G series
P series
R Series

kwa uzoefu wako , zipi bora Zaid kutokana na mazingira yetu haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
G series always mkuu

G stands for general condition, yani gari iliyoundwa ili ipite mazingira yote off road na on road , zamani zilikuwa zinakuwa na double chassis , hiz series 5 zonakuja na single but very robust chassis, zinakuja na diff ratio ya 3.08 as standard japo ukibahatisha pia unaeza kuipata yenye reduction hub high speed speced.

R series ni luxury segment ya scania , usually zinakuwa speced na luxury items kwa sababu huko ulaya zinatumika kwa akili ya long hauls tu, here is a trick though ukipata R series ya south africa , ni poa pia sababu yenyewe inakuwa na elements nyingi za G series ya ulaya.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo njia nyoko mzee Michina ya feo haikai zaidi ya miaka miwili imeisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sauli ni Scania ( gemilang na Benz ) inawahi na INA madereva wazuri , elsaedy ni yutingna dragon , Iman ni Asia star .
Rungwe pia ana Scania gemilang , abood Scania Marco Polo.
Ila sauli ni konyo na anaanza kwenda tunduma sio muda .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…