Fahamu kuhusu Scania Buses VS Yutong, Kinglong, Zhongtong, Higer, Golden Dragon, Sunlong Buses

Fahamu kuhusu Scania Buses VS Yutong, Kinglong, Zhongtong, Higer, Golden Dragon, Sunlong Buses

Kisbo aache kupeleka Bus zuri Kahama au Mwanza alete Mbeya, ulipewa stori za mtaani tu nilikuwa naziona zile Kisbo zilikuwa za kawaida tu. Hafu ujue kuwa Golden deer za Mbeya hazina madereva wazuri ungesema za Tunduma sawa, hizo za Mbeya hata Rungwe anazichapa
Kisbo bombastic unaijua ww?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika kwa nyodo kumbe hujui kitu

Gari za mbeya kufika saa 1 sio jambo jipya, Golden deer huwa zinafika saa 12:30 mara kibao tu

Al saedy sio scania, ana sunlong,yutong na golden dragon na hiyo Imani plus sio higer ni Asiastar

Siku nyingine fanya research kabla hujaandika utumbo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Hai express kufika 12 jion ilikuwa kawaida tu, au kisbo ilivyokuwa inaenda mbeya ilikuwa napema tu 12 jion mko mbeya mjin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu muda ,,Sauli hajawahi kuingia muda huu,, na hakuna gari yeyote toka vts ianze ushawahi kuingia muda uo,, ni record iyo Golden deer (NF) DPK 715 chini ya uangalizi wa Jaja.
Screenshot_20191117-202823.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Volvo nmeshaona basi moja Tz.

Kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba kuna basi haziwezi kuja Bongo sababu ya sheria zetu. Unakuta basi ni ndefu kupitiliza.


Mfano kuna basi ya mjerumani inaitwa Setra SD.
Ile kauli mbiu ya Scania, when I grow up I want to be a scania.

Hivi hua naona mabasi ya Volvo,Actros na mengine huko ulaya kwenye tv ila mbona bongo siyaoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilicho wafanya muwahi kufika mbeya sio mbio za sauli, Bali ni uwezo wa kuhimili (stable torque) wa engine ya 95
Katika Dunia ya diesel, common rail injection + variable geometry turbocharger, ni deadly combination, ie Gari za mfumo huo zinakuwa na nguvu kupitiliza

Hizo basi za Imani na alysaed haziwezi kukaa hata robo ya maisha ya hiyo scania, amini nakwambia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilicho wafanya muwahi kufika mbeya sio mbio za sauli, Bali ni uwezo wa kuhimili (stable torque) wa engine ya 95
😁😁😁 Kuna engine haina stable torque em tufafanulie ...kama sio mbio wangewahije?

By the way hiyo engine inatoa hp 310 tu
 
Pamoja na kwamba scania inadumu zaid ya basi za kichina lakin umetia chumvi

Gari za kichina zinadumu sana tu kama zikipewa service ya kueleweka, cummins kiasili sio technology ya mchina, ile ni mmarekan pure.

Hizi story za kuona scania ndo gari ngumu barabaran ni za kizaman, magari mengi yanayovuka boda kwenda lubumbashi na zimbabwe ni NISSAN DIESEL na MAN, hayo madude ni roho ya paka zaid ya scania

Sent using Jamii Forums mobile app

Zile Cummins zinazokuja na hizi chinese bus ni under licence wanatengeneza wao kwa jina la cummins
 
Mimi sio mtaalamu wa magari ila kuna bus linaitwa kisbo safari, nimekuwa nikilisia sana humu Jf kuwa linatembea sana.

Mwezi uliopita nikiwa dodoma pale maeneo ya unapotaka kujengwa uwanjani barabarani, nikapishana na bus za KISBO SAFARI mbili.

Moja ilikuwa saa 7 na dakika 8, na ikawa inatembea taratibu. Nikasema hii bus inawezaje kwa sasa mambo ya tochi barabarani kufika Dodoma saa 7?

Ilipofika 7:30 ikapita KISBO ya pili, hapa nilichoka saana, nikasema hawa jamaa ni hatari.

Yaani hata zile gari za Dodoma kutoka Dar bado haziingii muda huo kwa saa 7 kamili kuwa Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Bila shaka hiyo ni kangi lugola....sasa waulize hao alieko mbele ni nani..unasema sa saba na nusu wakat allys DQZ inapitaga hapo sa sita na nusu😊😊
 
Hahaahaa
Scania ndio mume wa hao wote. Nilithibitisha kwa safari ya Mbeya hivi karibuni. Basi la Sauli ni Scania saa moja nimefika Mbeya kawapita wote, la pili Alysaid nayo Sacania na tatu nia Imani ambalo ni Higer. Narudi Bongo tena Sauli katufikisha saa moja na dakika 15, ikafuata Imani na baadae Alysaid. Hizo za kichina nasikia ziliingia saa nne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Gari ya kichina hata uitunze vipi, ukinipa mishe mishe tu lazima isumbue, ukiona mtu amesurvive kwa muda mrefu na Gari ya kichina basi ujue anafanya kazi nyepesi nyepesi, kama vile abood

Sijui unazumgungumzia higer ipi ya upendo, nafa hamu zile za mwanzo zilipaki muda sana, kwanza katika magari mabovu ya mchina hiyo higer nadhan inashika namba Moja, nimeshuhudia nyingi tu zikikata chassis, imagine basi, la kubeba watu 55 linakata chassis!!!

Superfeo unazosema vipisi, hazinaga route ndefu ndo mana zimedumu kuna mtu alinunua hizo you tong ndogo wakati zinaingia, akawa anapeleka mwanza to mbeya, haikukaa hata miezi Sita ikafa

Tukija kwenye Mercedes benz, hizo Zina Jina tu, ingia . Truck net forum hata siku Moja uone kama benz inasemwa vizuri, kitu pekee benz inatamba ni fuel consumption, pamoja na drive train imara, lakini kwenye swala la kudumu inaachwa mbali sana na Swedish,

Sent from my BKK-AL10 using Tapatalk
Mbn haigher ...za dar lux zinasumbua sana njia ya mwanza to dar....yaani zinavyokohoa hata scania anapata tabu kuzipata sio kila kitu cha mchina ni kibovu

Service ndio inafanya magari haya kusumbua magari haya yanamfumo wa mechanic na electronic ...mafundi wengi wanayatengeneza kwa kubahatisha ndio maana hayadumu

sent from toyota Allex
 
Kilicho wafanya muwahi kufika mbeya sio mbio za sauli, Bali ni uwezo wa kuhimili (stable torque) wa engine ya 95
[emoji16][emoji16][emoji16] Kuna engine haina stable torque em tufafanulie ...kama sio mbio wangewahije?

By the way hiyo engine inatoa hp 310 tu
Natamani nikuelezee Uzuri ila sidhan kam tutaelewana, angular force torque ipo kwenye kila engine , ila engine huwa zinatofautiana jinsi zinavoweza kuhimili hiyo force bila kutetereka ,
Mwisho wa siku torque ndo inadetermine ufanisi na sio power tena ndo mana unashangaa 95 ina horsepower 310 tu ila nguvu zake so kitoto.


Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Mbn haigher ...za dar lux zinasumbua sana njia ya mwanza to dar....yaani zinavyokohoa hata scania anapata tabu kuzipata sio kila kitu cha mchina ni kibovu

Service ndio inafanya magari haya kusumbua magari haya yanamfumo wa mechanic na electronic ...mafundi wengi wanayatengeneza kwa kubahatisha ndio maana hayadumu

sent from toyota Allex
Higer za dar lux kwa mwanza hazina hata miaka miwili unalinganisha na scania za miaka mingapi?, mama hata hizo sauli na rungwe zinazoongelewa hapa ni model ya 2013

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Achana na kitu Scania. Hizi corona za kichina YUTONG watu wanapenda urahisi na kuigana Scania ndio alikuwa mkombozi wetu. Kenya walivuma na NISSAN nao Uganda wakawa na VOLVO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini uko deep, kwenye hii industry!! Hebu nitajie basi yoyote ya kichina iliyo kaa miaka 5 bila sumbua engine, nami nitakutajia scania (( T beq) ambayo ipo barabarani mpaka Leo ikiwa na zaidi ya miaka 10!

Cummins ni American products inayotengenezwa pia China under lisense, na ndio engine baadhi ya basi za kichina hutumia hasa you tong, hata hzio Cummins za mmarekani ambazo nyingi ziliingia kama genset, marine engines, kwa baadhi ya vivuko, hazikuwa na maisha kulinganisha na Swedish au Germany equivalent engines.

Ungekuwa sehemu kama migodini sehemu ambazo engines zinakuwa stressed to the limit ungeelewa haya ninayo kwambia, caterpillar products kwa mfano zinavuma kwa ubora na mambo kede kede, lakini huwa haifui dafu kwa liebherr (Germany) , kuanzia performance, fuel consuption, hadi service life

Sent from my BKK-AL10 using Tapatalk
Kwenye marine aende Temesa aone Catterpillar na Cummins vinavyoongoza kuwa na breakdown.

Ukienda Uganda katika ziwa Victoria maeneo ya Port Bell utakuta Cummins na Catterpillar kwenye vivuko zimetelekezwa.
 
Natamani nikuelezee Uzuri ila sidhan kam tutaelewana, angular force torque ipo kwenye kila engine , ila engine huwa zinatofautiana jinsi zinavoweza kuhimili hiyo force bila kutetereka ,
Mwisho wa siku torque ndo inadetermine ufanisi na sio power tena ndo mana unashangaa 95 ina horsepower 310 tu ila nguvu zake so kitoto.


Sent from my SM-A207F using Tapatalk
nguvu ni nini kwani yani ushasema 310hp afu bado unasema ina nguvu si kitoto 🤔🤔 hiyo si ina torque 1550Nm ....max torque inakuwa produced within a specifed number of rpms past there or below there huwezi ipata
 
nguvu ni nini kwani yani ushasema 310hp afu bado unasema ina nguvu si kitoto [emoji848][emoji848] hiyo si ina torque 1550Nm ....max torque inakuwa produced within a specifed number of rpms past there or below there huwezi ipata
Twende taratibu inaezekana hujui kutofautisha Kati ya horsepower na torque

Unafahamu kuwa unapoipata hiyo 310 horsepower, torque huwa tayari inaanza kushuka au kupungua ?

Unafahamu unapoipata hiyo torque 1550Nm , bado unakuwa hujafikisha hiyo 310 horsepower ?
Kiufupi maximum torque na maximum power huwa hazikutani kwenye rpm graph, engine pekee duniani ambayo ilikuwa inajaribu ku maintain torque kuelekea kwenye power ilikuwa ni 1HD FTE kutoka watu wa Toyota ! super flat torque they call it

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Twende taratibu inaezekana hujui kutofautisha Kati ya horsepower na torque

Unafahamu kuwa unapoipata hiyo 310 horsepower, torque huwa tayari inaanza kushuka au kupungua ?

Unafahamu unapoipata hiyo torque 1550Nm , bado unakuwa hujafikisha hiyo 310 horsepower ?
Kiufupi maximum torque na maximum power huwa hazikutani kwenye rpm graph, engine pekee duniani ambayo ilikuwa inajaribu ku maintain torque kuelekea kwenye power ilikuwa ni 1HD FTE kutoka watu wa Toyota ! super flat torque they call it

Sent from my SM-A207F using Tapatalk


Soma post zangu za zaman utaona nikielezea vizur torque versus hp miaka ya 2014...leo hii useme sjui hp na torque


Ni kingereza hujaelewa au em soma hapo ulipoquote uelewe mbona tayari nimeelezea
 
Vipi kuhusu mabasi mapya ya TATA MARCOPOLO BUS YALE YENYE BODY KAMA ZA U TONG .....YANAONEKANA KUWA IMARA KWA SASA .....KANDA YA ZIWA KUNA BATCO ANAYATUMIA KAMA JARIBIO ...HAYAONEKANI KUCHOKA YAPO IMARA SANA

Je haya yamekuja kutoa upinzani kwa scania bus , na kuna bus nzuri kabisa alikuwa nazo tajiri mmoja pale TANGA RAHA LEO ISUZU!! VIP HIZO
images(4).jpeg


sent from toyota Allex
 
Back
Top Bottom