Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Mkuu ungeleza namna bora ya kutunza Viatu vyetu it could sound better. Maana huu ndio usafiri wetu majority
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kwa elimu! ingawa vingine pia umeacha! kuna durability pia! zingine zina waya zingine hazinaELIMU YA BURE YA GARI LAKO
Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne ( 4 ) tu toka yatengenezwe (Sio toka uyafunge kwenye gari lako).......Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote...
mbona mnashindana kurudia Mada hiyo hiyo ambayo tumeshaijadili humu sana
Tairisisi tunatumia hadi miaka 8 na mpaka iishe kashata msiige mambo ya kigeni wao wanaspeed mpaka 200km/h
sisi Tarffic kila 5 kilomita wapo wanataka utembee 50> km/h ninaishi Mkoka Kibaigwa Kongwa ni vumbi tupu hakuna lani sasa miaka minne nilitu kwa nani
yaliyokuwa yakipasuka ni yale ya General Tyre miaka ya 80 hayakuwa na nyuzi
Kuna jamaa hapa juzi kapasukiwa na Bridge stone kwenye Nissan x trail......Ile gari ni mpya sana hivyo jamaa hana uelewa wa mabo mengi...nikaangalia tarehw ya tari ilikuwa imetengenezwa wiki y 26 mwaka 1999...ilikuwa inasoma hivi *2699*Yanapasuka mkuu ka yame expire mi nishapasukiwa na DUNLOP mara mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
good
Naomb malizia kuchanganua hiyo sentence ya mwisho kabisa, mZeee.You are warmly welcome
Don't worry brodah!DAH I CAN GET SOME HERE FOR MY CAR.. THANK YOU BRO FOR INFORMATION.
Ipi hiyo mkuu?Naomb malizia kuchanganua hiyo sentence ya mwisho kabisa, mZeee.
TBS wapite kwenye warehouse za wauza matairi,ninauhakika jamaa watafilisiwa wote maana sijui kama wapo wanauza tairi mpya...
*280/R/70/13/560/SIpi hiyo mkuu?
Wapo wengi sana na wenyewe sio kwamba hawafaham wanafaham vizuri sana..sema kuna zile tairi za bei mteremko bila wengi wetu kujua why zinakuwa mteremko ndio huwa sababu ya mda wa kuexpire unakuwa umefikaTBS wapite kwenye warehouse za wauza matairi,ninauhakika jamaa watafilisiwa wote maana sijui kama wapo wanauza tairi mpya...