kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,239
Kuuliza siyo ujinga
1- Tengenezeni katiba ya kikundi chenu ndio iwe sheria Mama. Kisha ipitisheni rasimu ya katiba
2 - Andikeni barau ya kujitambulisha katika ofisi ya serikali ya mtaa ambapo shuhuli zenu zitafanyika. Kikao cha ulinzi na usalama katika serikali ya mtaa kitakaa na kuwajadili.
3 - mkisha pitishwa na mtaa mnaandika tena barua ya kutambulika ofisi ya kata mliyopo. Apo mtaambatanisha katiba, CV za viongozi wenu hasa 3. Mwenyekiti, katibu na mweka hazina.
4 - Baada ya kupitishwa na kata, mtaandika barua wilayani ili kuweza kutambilika kiwilaya
5 - mwisho mtaandika barua kwa msajili wizara ya mambo ya ndani.
Msajili akifanyia kazi na kukuta hamna kasoro hasa katika katiba hapo mtakuwa mmefanikiwa.
1- Tengenezeni katiba ya kikundi chenu ndio iwe sheria Mama. Kisha ipitisheni rasimu ya katiba
2 - Andikeni barau ya kujitambulisha katika ofisi ya serikali ya mtaa ambapo shuhuli zenu zitafanyika. Kikao cha ulinzi na usalama katika serikali ya mtaa kitakaa na kuwajadili.
3 - mkisha pitishwa na mtaa mnaandika tena barua ya kutambulika ofisi ya kata mliyopo. Apo mtaambatanisha katiba, CV za viongozi wenu hasa 3. Mwenyekiti, katibu na mweka hazina.
4 - Baada ya kupitishwa na kata, mtaandika barua wilayani ili kuweza kutambilika kiwilaya
5 - mwisho mtaandika barua kwa msajili wizara ya mambo ya ndani.
Msajili akifanyia kazi na kukuta hamna kasoro hasa katika katiba hapo mtakuwa mmefanikiwa.