Fahamu kupika Vitumbua vya aina mbalimbali

Fahamu kupika Vitumbua vya aina mbalimbali

Ok ntatafuta. je ww uko Dar niagizie kuna mtu aweza ntafutia huja mara nyingi huko
 
Lakini simply waweza jitengezea mwenyewe huo unga wa mchele

Osha mchele wako vizuri.....roeka kidogo na maji alafu weka mwenye ungo ama sinia na uanike juani ukikauka saga na machine ya kusagia vitu vikavu....au kuna sehemu maalum wanasagisha

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
asanteni wapishi....vitumbua ndo mambo yote....vitumbua vyote vya jikoni na vya nanihii lol
 
Wapendwa..amani iwe juu yenu!!
I hope u have a great weekend.

Unga wa mchele glass 2 na nusu
Maziwa glass 2
Sukari vijiko 10 vya kulia
Iliki vijiko 2
Hamira vijiko 2
Yai 1

Jinsi ya kutayarisha
Changanya vitu vyote kwenye blender..
Saga kwa dkk 4-6
Mimina kwenye bakuli safi
Wacha viumuke na uchome.
Vitumbua tayari kwa kuliwa

Vimetoka vingi kweli.ni hizo hizo glass mbili tu?
 
Yammm yaammmm...bora nimepata alternative ya nazi, kumbe maziwa nayo ni mujarab kwenye pishi hili. Asante dada
 
1405473017393.jpg
 
Back
Top Bottom