Hahhahaha. ...welcome my dear!
Santee
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhahaha. ...welcome my dear!
Huku tulipo umejaa....ww upo maeneo gani
Niko Arusha my dia..
Huko sina hakika ila jaribu maduka ya wahindi labda..
Wapendwa..amani iwe juu yenu!!
I hope u have a great weekend.
Unga wa mchele glass 2 na nusu
Maziwa glass 2
Sukari vijiko 10 vya kulia
Iliki vijiko 2
Hamira vijiko 2
Yai 1
Jinsi ya kutayarisha
Changanya vitu vyote kwenye blender..
Saga kwa dkk 4-6
Mimina kwenye bakuli safi
Wacha viumuke na uchome.
Vitumbua tayari kwa kuliwa
Vimetoka vingi kweli.ni hizo hizo glass mbili tu?
Loh hadi minyoo yangu ikacheza tumboni
Chakarika kivyako vyako 🙂..Vitumbua vinaita.
Hapa dar kuna sehemu ukipita huku unakunywa maji ya chupa wanakuloga.