Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Mmh .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi mtukufu tunashuhudia akina mama wakijiongezea vipato kwa kufanya biashara ya kuuza vitumbua katika vibaraza vya nyumba zao......sasa kinachonishangaza ni kwamba % kubwa ya wamama wachoma vitumbua huwa ni wanene sana, nishazunguka sana mjini kufanya utafiti nikabaini hilo.....sasa kuna anaeweza kuwa anaelewa sababu ya hawa wamama kuwa watu wa miraba minne?
Jaribu na wewe kuchoma ukinenepa utakua umepata jibu sahihi nini kimekunenepesha,sawa dada?
peleka jf doctor utapata majibu
Wanachoma vitumbua wakati huohuo wanavila sana
Sidhani kama kuna direct connection kati ya kuchoma vitumbua na kunenepa!
Aidha kuchoma vitumbua ni kazi ya kivivu thus why vibonge wengi wanaiweza!
Cc: Dinazarde! Teh teh teh!
Katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi mtukufu tunashuhudia akina mama wakijiongezea vipato kwa kufanya biashara ya kuuza vitumbua katika vibaraza vya nyumba zao......sasa kinachonishangaza ni kwamba % kubwa ya wamama wachoma vitumbua huwa ni wanene sana, nishazunguka sana mjini kufanya utafiti nikabaini hilo.....sasa kuna anaeweza kuwa anaelewa sababu ya hawa wamama kuwa watu wa miraba minne?
ukimaliza kuvuta hiyo bangi nitakujibu coz huenda kwa ss unafikiri kwa kutumia masaburi!
Sidhani kama kuna direct connection kati ya kuchoma vitumbua na kunenepa!
Aidha kuchoma vitumbua ni kazi ya kivivu thus why vibonge wengi wanaiweza!
Cc: Dinazarde! Teh teh teh!
ukimaliza kuvuta hiyo bangi nitakujibu coz huenda kwa ss unafikiri kwa kutumia masaburi!
ukimaliza kuvuta hiyo bangi nitakujibu coz huenda kwa ss unafikiri kwa kutumia masaburi!
mkuu una shida wewe si bure, mbona swali ni zuri tu na limekaa kiutafiti?
kwani ungejibu vizuri ungekatwa kikojoleo?
Jaribu kuchunguza utaniambia