Fahamu kupika Vitumbua vya aina mbalimbali

Ok ntatafuta. je ww uko Dar niagizie kuna mtu aweza ntafutia huja mara nyingi huko
 
Lakini simply waweza jitengezea mwenyewe huo unga wa mchele

Osha mchele wako vizuri.....roeka kidogo na maji alafu weka mwenye ungo ama sinia na uanike juani ukikauka saga na machine ya kusagia vitu vikavu....au kuna sehemu maalum wanasagisha

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
asanteni wapishi....vitumbua ndo mambo yote....vitumbua vyote vya jikoni na vya nanihii lol
 

Vimetoka vingi kweli.ni hizo hizo glass mbili tu?
 
Yammm yaammmm...bora nimepata alternative ya nazi, kumbe maziwa nayo ni mujarab kwenye pishi hili. Asante dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…