Alafu kuna mpuz mmja humu anakwambia anataka akaandamane kwa ajili yakeMambo ya Afrika ni magumu.
Shenzi wanakula mema mpaka kufa kwao.
Macho yangu yanaona anasa tu kwa kwenda mbele.
Alafu kuna mpuz mmja humu anakwambia anataka akaandamane kwa ajili yakeMambo ya Afrika ni magumu.
Shenzi wanakula mema mpaka kufa kwao.
Macho yangu yanaona anasa tu kwa kwenda mbele.
Siyo ndugai tu viongoz wote nchi hii wanakulaWe endelea kushangilia kwamba Ndugai kakomolewa
Ni li fala limoja hilo labda lina maslahi naye.Alafu kuna mpuz mmja humu anakwambia anataka akaandamane kwa ajili yake
Wakati jamaa hana alichopoteza,anakula mema mpaka mwisho wake ata enjoy maisha tu
Ova
ndio maana Sasa hv,ccm wamegeuka tena,eti mpaka wakapige kura bungeni ,ndo wameshtuka saivi kuwa hawajamkomoa bali Ila walikurupuka kumshinikiza ajiuzuru![emoji14]We endelea kushangilia kwamba Ndugai kakomolewa
Kaka funga mdomo wako! Wapo watu wanafiki na wajinga walisema Lowassa hatafaa kuwa Rais kwa sababu ya afya yake!Huyu hamalizi 5yrs
Hili linajulikana,swala la msingi ni hana power tena, mengine ni kujifariji tuu.Why Job Ndugai will still smile all the way to the bank
thecitizen.co.tz
Jan 7, 2022 12:00 PM
Even though the Speaker of Tanzania's National Assembly, Job Ndugai, has unceremoniously resigned from his post, he will still enjoy most of the pecuniary and other benefits he was accustomed to while holding the high-rank post.
According to the Political Service Retirement Benefits Act (Revised Edition of 2015) Ndugai will be very well taken care of by the government.
The law states that:
A leader who held the office of the Speaker of the National Assembly shall, upon ceasing to hold office, be granted:
(A) a gratuity of the sum equal to 50% of the total sums of moneys received by him as salaries when he held office of Speaker;
(B) An annual pension granted monthly of a sum equal to 80% of the salary of the incumbent Speaker of the National Assembly,
(C) A winding-up allowance of a sum equal to the amount that would be received as salary by the incumbent Speaker in a number of months as may be determined by the appropriate authority.
(D) One motor vehicle to be granted once and which shall be maintained by him;
(E) A driver.
(F) A diplomatic passport for him and for his spouse or spouses.
(G) Seventy litres of fuel per week;
(H) Maintenance allowance for a motor vehicle at a rate equal to 40% of fuel allowance.
Sawa lakini mwisho wa siku asingekuwa spika miaka yote! Amemwachia bunge afanye atakavyo! Ila Ndugai ataoata huduma zoe ndo jambo la msingi!Hili linajulikana,swala la msingi ni hana power tena, mengine ni kujifariji tuu.
Huduma hizo zipo kisheria kwa Spika yoyote.Sawa lakini mwisho wa siku asingekuwa spika miaka yote! Amemwachia bunge afanye atakavyo! Ila Ndugai ataoata huduma zoe ndo jambo la msingi!
Kwani shida ya ndugai ni pesa au madaraka/mamlaka?? Kwani Gwajima au Tarimba sio matajiri? Mbona wanagombea ubunge??We endelea kushangilia kwamba Ndugai kakomolewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo unadhani Ndugai bado ana hamu na hicho cheo ambacho mwisho wake ulikuwa 2025?Kwani shida ya ndugai ni pesa au madaraka/mamlaka?? Kwani Gwajima au Tarimba sio matajiri? Mbona wanagombea ubunge??
Very poor argument
We jamaa unaongea nini .?Hili linajulikana,swala la msingi ni hana power tena, mengine ni kujifariji tuu.
Kwani kuna shida?We jamaa unaongea nini .?
Au hujua ni kodi yako itakuwa inamlisha kwa maisha yake yote .?
Atakuwaje ?
Kaka funga mdomo wako! Wapo watu wanafiki na wajinga walisema Lowassa hatafaa kuwa Rais kwa sababu ya afya yake!
Kwani wewe ni Mungu?Huyu hamalizi 5yrs