Fahamu kwa undani nadharia ya ‘Lockdown YOYO effect’ , mchezo wa kujaza maji ndoo ilitoboka

Nimesha elezea sababu kuu ya kuweka lockdown whether partial or total ni kupata reproductive number chini ya moja na sio kuwa na zero incidence. Na hicho ndio ulicho andika hapo juu. Ahsante.
 
Nimesha elezea sababu kuu ya kuweka lockdown whether partial or total ni kupata reproductive number chini ya moja na sio kuwa na zero incidence. Na hicho ndio ulicho andika hapo juu. Ahsante.
Atakae elewa ‘kupata reproductive number’ anishtue
 
Na muda si muda tutaanza kuona Yoyo effect huko uswiss
 
Kabla ya kufikiria total Lockdown wafikirie mama ntile,machinga na wasaka tonge wote ambao wanategemea watoke ndio wale na ktk Tanzania yetu hii 70% ni watu wanaishi life la kuungaunga watoke ndio wale hawana uwezo wa kusave hata kwa siku tatu.

Leo hii unawaweka Lockdown utawapa nini,maanake Inawezekana baada ya huu upepo wa Corona unaweza ukapiga mahesabu ukagundua waliokufa kwa njaa ni wengi kuliko Corona.

Sisi Tanzania na Africa inayotufaa partial lockdown ,total lockdown hatuiwezi.China mwenyewe mjanja anaficha data kuna kipindi alikaa wiki hajatangaza kifo,lkn baadaye ghafla akatangaza vifo vya watu zaidi 1400 ndani siku moja alafu akakaa kimya,China watu kufa wanakufa ila wana control habari ipi iende public ipi isiende.
 
Sasa hivi UK wataingia kwenye YOYO effect, wanasema hali ya uchumi imekuwa mbaya mno na hali haivumiliki tena, kwahiyo itabidi watu warudi kazini huku wakichukua tahadhari ambazo hapa Tz tayari tumezichukua, na wanasema endapo wakiona hali ya maambukizi inarudi kuwa juu tena watafunga tena nchi na kuweka watu ndani kwa wiki kadhaa tena (YOYO EFFECT).
source : BBC news
 
Update:
South Korea imekuwa nchi ya kwanza kupata YOYO EFFECT, baada ya kuondoa tu lockdown measures , mlipuko umerudi tena, na sasa wanajiandaa tena na raundi ya pili ya lockdown.
Pia YOYO effect imeanza kuonekana WUHAN, case mpya 5 zimepatikana, means hao watano watakuwa wameambukiza wengine wengi, kwa sababu ni mgonjwa mmoja tu anahitajika kusababisha mlipuko.
 
Mpaka leo wamekufa wangapi?

Tumeshindwa kupima maana mzee baba alipeleka sampuli za mapapai, mafenesi, oil ya nagari, nk. kwenye maabara ya taifa isiyomilikiwa na taifa! Wenye maabara tao (wafadhili) wamekasirishwa kudhalilishwa. Hivyo, hakuna upimaji mpaka zengwe liwekwe sawa.
 
Update: Na ujerumani nayo imeanza kupatwa na YOYO effect baada ya kuondoa lockdown wiki moja iliyopita, visa vinesnza kuongezeka tena
 
Nakubaliana na wewe kwa kiwango flani,tatizo hapa kwetu hakuna seriousness inayotakiwa,hats swala la social distance haijatiliwa mkazo inavyostahili,ni business as usual.
 
Nakubaliana na wewe kwa kiwango flani,tatizo hapa kwetu hakuna seriousness inayotakiwa,hats swala la social distance haijatiliwa mkazo inavyostahili,ni business as usual.
Watilie mkazo masuala ya social distancing, hasa Kariakoo, kunawa mikono, kuvaa barakoa na miwani pia
 
Kiwango cha maambukizi USA kimepanda hadi kuvunja rekodi ya mwezi April, mlipuko wao umeanza upya na kwa kasi zaidi...!!!
 
Hilo nyomi la kariakoo linatofauti gani na nyomi la maandamano ya ubaguzi wa rangi USA?
 
Hilo nyomi la kariakoo linatofauti gani na nyomi la maandamano ya ubaguzi wa rangi USA?
Tunapiga hesabu ya siku 14 za ugonjwa kufumka, kupona au kufariki kwa aliyeambukizwa, sasa kwa sehemu tajwa hicho ndiyo kipimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…