Fahamu kwanini iphone inabaki kuwa bora kuliko simu za android

Fahamu kwanini iphone inabaki kuwa bora kuliko simu za android

Kiufupi hata wewe unajua ukisahau email / password android yako kuifungua ni rahisi sana tena ukiipeleka kwawale mafundi ikizidi sana 25000 tu japo kuna android nyingine ningumu kuzitoa password kama oneplus kama sijakosea ila ukipewa leo 13 pro max uitoe apple id lazima uandae pesa (300000/500000)ya maana nazoezi linaweza lisiwezekane au likawezekana ila simu isishike network mazima

Sasa Kama ameweza kutoa lock ya iPhone 15 pro max na isifanye kazi upande wa network uwe unatumia WI-FI huyo sio mtaalamu ni uharibifu tu
Tunaposema mtaalamu atoe security iliyokuwa mwanzo na bado simu ifanye kazi Kama kawaida kabisa hapo Ndio gwiji
 
Durability iPhone ni ngumu sana juzi niliidondosha nikiwa kwenye boda boda kuiokota ipo vile vile mdundo...
 
First year wa UDSM akijaribu kutugirini wajanja wa mjini
 
Tatizo la iPhone zimekaa kikike sana, Yaani visimu fulani ambavyo ukiwa navyo kila mtu ana uwezo kukujua ulivyo undani wako, Asilimia kubwa ya iPhone users wa hapa bongo ni watu ambao wana tamaa tamaa fulani za vitu vizuri vizuri ndo maana nikasema ni devices ambazo zimekaa kikike kwa sababu jinsia ya kike ndo watu wenye tabia za kupenda kupata vitu vizuri kwa njia nyepesi,

Kingine inamuelezea mtu kwamba anapenda attention ambayo pia ni tabia ya kike, Kupenda attention akiwa au akipita mahali... Kiufupi haina tofauti na unakuta pisi kali imevaa vizuri... imependeza kwelikweli na ukiiangalia huwezi kuamini kwamba ina Ghono, Ndo kama alivyo mwenye iphone, Unakuta mtu ana simu ya thamani ya 3m ila huwezi kujua kama hana hela ya kula.

Kingine wanakuwa watu wa kupenda mashindano, yaani akiwa na iphone 7 maybe akimuona mwenzake ana 11 automatic tuu unamuona anatamani yeye ndo angekuwa na hiyo 11

Hilo suala nalisema kutokana na experience yangu na wahusika ninaokutana nao ila ni simu nzuri sema tu zinapendwa na kumilikiwa zaidi na wasio sahihi
Halafu hii kweli kabisa nakubaliana nawe
 
Wanaotumia iphone wanajikuta wao ndio freemason kumbe hakuna kitu ni vile tu kampuni ya iphone imeweza kuwateka wateja wake kisaikolojia kwa kuwaproud kuwa wao ni special!!.
Hata ukitaka mvuta mtoto wakike msifie ajione yeye ni special chap tu unampeleka ghetto..[emoji23]

Android unaweza kusave vitu vyako google drive na ukavipata vyote kikubwa usisahau email yako na password ya email..
Kuhusu kushuka bei kwa simu zilizopita sokoni si hoja yenye nguvu,na nakushangaa maana huku mtaani watu wanazibeba hadi kwa laki na hamsini nakuendelea!..
Android ni nyepesi na ipo huru isiyo na mfumo wakunyanyasanyanyasa wateja wake,takribani apps zote unaweza kuzipata kwenye mfumo wa android,huko iphone mpo kwenye gereza na kifungo kisichofunguka!.

Kuhusu hacking usije ukajidanganya wewe member ulielewa hilo tunda la apple,ukafikiri hiyo IOS upo salama labda kama wewe sio mfatiliaji tu ila wapo hackers wazuri wanaoweza ku hack mifumo ya iOS so usijitie ushankupe..

Piga uwa galagaza iphone haimfikii google pixel kwenye quality ya picha!.


Umekaa kizembe sana babu..[emoji28]

“Wapo hackers wazuri”
Shida hapa bado hujaelesea wanafanyaje, wanatumia mbinu gani?
Umeelezea wapo tu then what?
 
Tatizo la iPhone zimekaa kikike sana, Yaani visimu fulani ambavyo ukiwa navyo kila mtu ana uwezo kukujua ulivyo undani wako, Asilimia kubwa ya iPhone users wa hapa bongo ni watu ambao wana tamaa tamaa fulani za vitu vizuri vizuri ndo maana nikasema ni devices ambazo zimekaa kikike kwa sababu jinsia ya kike ndo watu wenye tabia za kupenda kupata vitu vizuri kwa njia nyepesi,

Kingine inamuelezea mtu kwamba anapenda attention ambayo pia ni tabia ya kike, Kupenda attention akiwa au akipita mahali... Kiufupi haina tofauti na unakuta pisi kali imevaa vizuri... imependeza kwelikweli na ukiiangalia huwezi kuamini kwamba ina Ghono, Ndo kama alivyo mwenye iphone, Unakuta mtu ana simu ya thamani ya 3m ila huwezi kujua kama hana hela ya kula.

Kingine wanakuwa watu wa kupenda mashindano, yaani akiwa na iphone 7 maybe akimuona mwenzake ana 11 automatic tuu unamuona anatamani yeye ndo angekuwa na hiyo 11

Hilo suala nalisema kutokana na experience yangu na wahusika ninaokutana nao ila ni simu nzuri sema tu zinapendwa na kumilikiwa zaidi na wasio sahihi

Hahaha natumia simu zote( both ios and android) and kila simu ina advantage na disadvantage yake. First of all hakuna simu yenye muonekano wa kike hizo ni falacy thinking.

You have to understand kila mtu anaponunua simu kuna kitu anakitafuta, binafsi why nili purchase iphone wkt nina android kali, nilikuwa na professional reason zangu, lakin moja ya sababu si kujionyesha au ku seek anntettion kama ulivyoandika
 
Iphone ujinga mwingi sana,Security ya nini km sio kuendekeza umaskini tu.
Ikiibiwa si unanunua ingine.
Ni simu ya hovyo sijawai kuona.
Nilitumia Iphone 2 nikaishia kugawa.
 
Kijana tantarira kibao
Mnajificha kwenye kichaka cha iphone x ,XR na 11 plain

Hamia japo note 10 halafu uje uongee hapa tena

Video tu ndo naweza sema iphone inatoa vizuri ila picha[emoji16][emoji16]
Sijui kukaa na charge

Halafu simu za android haziwezi kukaa kwenye value kubwa kwa sababu in a year zinatoka simu nyingi sana

Samsung mwenyewe ana A series na S series ana flip phone ana foldable phone lazima zishuke ili zipishe nyingine tofauti na bwana apple na matoleo yake machache kwa mwaka

Android ndo easy kutumia we unaongelea ukitoka lock screen unaenda moja kwa moja menu??

Android unadrag app unazozipenda home screen kabisa huhangaiki na makitu mengine wewe na unachotaka tu [emoji1]

Sasa subirini features za android miaka 5 mbele mje kutupigia kelele tulia i sheep

You feel me[emoji1]

Currently wenye iphone 13 na kuendelea ndio wanafaidi ios.
Unasema subiri features za android next 5 years, well apple pia si kwamba watakuwa wamelala for those five years.

Ushindani ni mkubwa kwa manufactures wa hizi brands na hakuna simu bora kuliko mwenzake kwa 100%

It up to users
 
Nenda dark web acha kukaza fuvu..

Hahaha nimecheka sana kumbe mwenyewe hujui how mpaka uka google.
Ios si completely hackers proof, but advantage ni kuwa sio easy to hack. Every incident ya hacking apple huwa wanatoa patch ya kuziba hiyo weakness instantly
Can android keep up?
 
Hahaha nimecheka sana kumbe mwenyewe hujui how mpaka uka google.
Ios si completely hackers proof, but advantage ni kuwa sio easy to hack. Every incident ya hacking apple huwa wanatoa patch ya kuziba hiyo weakness instantly
Can android keep up?
😂 Yani hilo ni swala la ku google dah! Mkuu unaniaibisha! Mi sijagoogle ndugu na nazidi kukwambia acha kukaza fuvu
 
[emoji23] Yani hilo ni swala la ku google dah! Mkuu unaniaibisha! Mi sijagoogle ndugu na nazidi kukwambia acha kukaza fuvu

14 pro max na 15 pro max ku hack ni ngumu sana kiufupi tu ili uweze kuhack inabidi ununue software / code za ma million usd so sio rahisi hivi ndugu ila hizi x / xr / 11 zote zinawezekana
 
14 pro max na 15 pro max ku hack ni ngumu sana kiufupi tu ili uweze kuhack inabidi ununue software / code za ma million usd so sio rahisi hivi ndugu ila hizi x / xr / 11 zote zinawezekana
Yule mwamba kakaza fuvu...😂
 
14 pro max na 15 pro max ku hack ni ngumu sana kiufupi tu ili uweze kuhack inabidi ununue software / code za ma million usd so sio rahisi hivi ndugu ila hizi x / xr / 11 zote zinawezekana

Elezea jinsi gani ni rahisi kuhack s23 yenye android 14.

Hivi unajua kwanini security patch zinatoka kila mwezi kwa ios kama iko secured kama unavyodhani??

Kuhack sio kama kuimba kiitikio.
 
Elezea jinsi gani ni rahisi kuhack s23 yenye android 14.

Hivi unajua kwanini security patch zinatoka kila mwezi kwa ios kama iko secured kama unavyodhani??

Kuhack sio kama kuimba kiitikio.

Kwenye android ni oneplus pekee ndo ngumu kutoa oneplus id ila samsung id au other android ni rahisi sana broo
 
Tatizo la iPhone zimekaa kikike sana, Yaani visimu fulani ambavyo ukiwa navyo kila mtu ana uwezo kukujua ulivyo undani wako, Asilimia kubwa ya iPhone users wa hapa bongo ni watu ambao wana tamaa tamaa fulani za vitu vizuri vizuri ndo maana nikasema ni devices ambazo zimekaa kikike kwa sababu jinsia ya kike ndo watu wenye tabia za kupenda kupata vitu vizuri kwa njia nyepesi,

Kingine inamuelezea mtu kwamba anapenda attention ambayo pia ni tabia ya kike, Kupenda attention akiwa au akipita mahali... Kiufupi haina tofauti na unakuta pisi kali imevaa vizuri... imependeza kwelikweli na ukiiangalia huwezi kuamini kwamba ina Ghono, Ndo kama alivyo mwenye iphone, Unakuta mtu ana simu ya thamani ya 3m ila huwezi kujua kama hana hela ya kula.

Kingine wanakuwa watu wa kupenda mashindano, yaani akiwa na iphone 7 maybe akimuona mwenzake ana 11 automatic tuu unamuona anatamani yeye ndo angekuwa na hiyo 11

Hilo suala nalisema kutokana na experience yangu na wahusika ninaokutana nao ila ni simu nzuri sema tu zinapendwa na kumilikiwa zaidi na wasio sahihi
Rekebisha zinamilikiwa na wanaume ila zinatumiwa na wanawake wenye zero security kwenye marinda yao
 
Watanzania wengi wana shida ya akili, especially watumiaji wa Iphone, akili zao ni fupi fupi na ni wajinga vibaya mno.

Sio wote.. baadhi.
 
Kwenye android ni oneplus pekee ndo ngumu kutoa oneplus id ila samsung id au other android ni rahisi sana broo
ni rahisi sana[emoji2][emoji2][emoji2].

unaweza kuchomoa lock ya A51 samsung na uka update bila shida??
 
Watanzania wengi wana shida ya akili, especially watumiaji wa Iphone, akili zao ni fupi fupi na ni wajinga vibaya mno.

Sio wote.. baadhi.

Hakuna reasearch imefanyika ikaonyesha kuwa watumiaj wa iphone hawana akili.
Iphone ni brand ya simu ya brand zingine, kila mtu ana nunua anachokipenda

Sion reasons ya kumchukia mtu anae amua kuchukua iphone
 
Back
Top Bottom