Fahamu machache kuhusu Ethiopia

Fahamu machache kuhusu Ethiopia

mwenye history ya TANZANIA atupe
 
Kuhusu Rastafarian na ma Haile...
Ingependeza zaidi
 
Asante kwa kutujuza yote hayo. Lakini mbona umeacha kuzungumzia nafasi ya Ethiopia katika kujikomboa kwa nchi za Afrika kutoka ukoloni? Ghana ilipata uhuru wake mwaka 1957. Ethiopia je?
Ethiopia haikutawaliwa kwani Muitaliano alipigwa kama Ngoma pale Adowa.Hata hivyo Benito Musolin alifanikiwa kukkamata Ethiopia mwaka 1935 lakini alifurushwa 1941.
 
Back
Top Bottom