Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
1) Samaki hupata huzuni/msongo wa mawazo (depression) kama apatavyo binadamu
2) Kuna Samaki wanaishi zaidi ya miaka 70 ila yupo aliyeishi miaka 112 anaitwa Bigmouth buffalo
3) Kibaolojia kuna makundi (species) 30,000 ya samaki yanayotambulika
4) Kihistoria Samaki ameanza kuwepo duniani miaka milioni 500 iliyopita
5) Samaki halii (crying) kwahiyo ule msemo wa machozi ya samaki kwenda na maji ni fasihi tu ndio imetumika
6) Samaki huwa analala... Japo sio kama binadamu lakini samaki pia huwa analala... Ulalaji wa samaki huwa ni kupunguza mizunguko yake, hupunguza uwezo wa kuhisi jambo, hupunguza metabolism... Na kwa wakati huu ndio rahisi kuwavua kwa nyavu kwan huwa Hawana ujanja ujanja
7) Unajua kuwa kuna Samaki wanabadilisha jinsia kutoka kuwa wa kiume kwenda kuwa wa kike au kike kwenda kuwa wakiume kwa kitaalumu huitwa Sequential hermaphroditism.... Mara nyingi sababu ya kubadilisha huko kwa jinsia hutokana na mazingira
8) Je unajua kuwa baadhi ya lipstick na rangi za kucha zinatokana na magamba ya samaki NA PIA shahawa/manii ya samaki aina ya nyangumi pia hutumika kutengenezea shampoo, lipstick na baadhi ya vipodozi
9) Bunju/ fugu ni miongoni mwa samaki watamu sana ila ni samaki wenye sumu kali sana inayoweza Kukuua muda mchache...Nchini Japan ili upewe idhini ya kumpika samaki huyu unatakiwa uwe na cheti maalum cha kusomea.... Lakin kwa Tanzania anapikwa tu japo sio na kila mtu ila supu yake ina balaa [emoji2][emoji2]
10) Binadamu anaweza kujua ladha 7,000 lakini kambare anauwezo wa kujua ladha 27,000
11) Horse fish ni kama kinyonga tu kwa sababu wanafanana kwa baadhi ya mambo mfano... Mwendo wao kinyonga na horse fish wote hutembea taratibu, kinyonga na horse fish wote wanauwezo wa kujibadilisha rangi kuendana na mazingira, kinyonga na horse fish wote wanauwezo wa kuona mbele na nyuma wakati wa kutembea...... Mkunga nae ni kama nyoka kwa ufanano wao mfano umbo lao, maisha yao, na pia sumu zao
2) Kuna Samaki wanaishi zaidi ya miaka 70 ila yupo aliyeishi miaka 112 anaitwa Bigmouth buffalo
3) Kibaolojia kuna makundi (species) 30,000 ya samaki yanayotambulika
4) Kihistoria Samaki ameanza kuwepo duniani miaka milioni 500 iliyopita
5) Samaki halii (crying) kwahiyo ule msemo wa machozi ya samaki kwenda na maji ni fasihi tu ndio imetumika
6) Samaki huwa analala... Japo sio kama binadamu lakini samaki pia huwa analala... Ulalaji wa samaki huwa ni kupunguza mizunguko yake, hupunguza uwezo wa kuhisi jambo, hupunguza metabolism... Na kwa wakati huu ndio rahisi kuwavua kwa nyavu kwan huwa Hawana ujanja ujanja
7) Unajua kuwa kuna Samaki wanabadilisha jinsia kutoka kuwa wa kiume kwenda kuwa wa kike au kike kwenda kuwa wakiume kwa kitaalumu huitwa Sequential hermaphroditism.... Mara nyingi sababu ya kubadilisha huko kwa jinsia hutokana na mazingira
8) Je unajua kuwa baadhi ya lipstick na rangi za kucha zinatokana na magamba ya samaki NA PIA shahawa/manii ya samaki aina ya nyangumi pia hutumika kutengenezea shampoo, lipstick na baadhi ya vipodozi
9) Bunju/ fugu ni miongoni mwa samaki watamu sana ila ni samaki wenye sumu kali sana inayoweza Kukuua muda mchache...Nchini Japan ili upewe idhini ya kumpika samaki huyu unatakiwa uwe na cheti maalum cha kusomea.... Lakin kwa Tanzania anapikwa tu japo sio na kila mtu ila supu yake ina balaa [emoji2][emoji2]
10) Binadamu anaweza kujua ladha 7,000 lakini kambare anauwezo wa kujua ladha 27,000
11) Horse fish ni kama kinyonga tu kwa sababu wanafanana kwa baadhi ya mambo mfano... Mwendo wao kinyonga na horse fish wote hutembea taratibu, kinyonga na horse fish wote wanauwezo wa kujibadilisha rangi kuendana na mazingira, kinyonga na horse fish wote wanauwezo wa kuona mbele na nyuma wakati wa kutembea...... Mkunga nae ni kama nyoka kwa ufanano wao mfano umbo lao, maisha yao, na pia sumu zao