Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Mkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?
 

Kila jema mkuu
 
Inaweze kustawi kwani kwa mujibu ya mikoa iliyovyanyiwa utafiti ifuatayo imeeonekana kuweza kulima/kustawisha zao hilo: DODOMA, SINGIDA, KILIMANJARO, na TABORA.
Nafikiri na Kakonko mkoani Kigoma
 
UZi mzima hakuna aliesema eka moja ina cost kiasi gani kuandaa had kupanda
 
Gharama za viautilifu zinaweza cost bei gani kwa eka ?
 
Sa
SAfi sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…