Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Acha ubishi korosho mwaka Jana imeuzwa 4500 Mwaka Huu imepanda
Hongera kwa kuuza bei kubwa nje na ya mnadani. Hongera kwa kupata mteja wa zaidi ya 4500. Huko unakosema tandahimba ijumaa wamepiga mnada ambao ni wa pili bei ni 3980.

Sijui unaongelea tandahimba ya nchi gani. By the way mm niko sehemu ya tukio. Naona wengine muko mitandaoni kwa ajili ya kuleta ubishi ili muonekane wakati uko unakokusema wewe ata hupajui.

Kweli nimeamini people are not the same aisee.
 
Hongera kwa kuuza bei kubwa nje na ya mnadani. Hongera kwa kupata mteja wa zaidi ya 4500. Huko unakosema tandahimba ijumaa wamepiga mnada ambao ni wa pili bei ni 3980.

Sijui unaongelea tandahimba ya nchi gani. By the way mm niko sehemu ya tukio. Naona wengine muko mitandaoni kwa ajili ya kuleta ubishi ili muonekane wakati uko unakokusema wewe ata hupajui.

Kweli nimeamini people are not the same aisee.
Tandahimba zima mnada unapigwa sehemu moja? Unajua Tandahimba ina vijiji vingap, Kwaheriiii.
 
Tandahimba zima mnada unapigwa sehemu moja? Unajua Tandahimba ina vijiji vingap, Kwaheriiii.
Nina uhakika kuna vitu hujavielewa kuhusu mnada na ata kuelewa nini maana ya mnada, ndo maana unauliza mnada tandahimba unapigwa sehemu moja? Ungejua chochote kuhusu minada ili swali lisingekuwepo tehtehteh.

Nina uhakika hujui unachokibishia pia.

Pole sana!
 
Tabora je korosho inaweza stawi ?

Inaweze kustawi kwani kwa mujibu ya mikoa iliyovyanyiwa utafiti ifuatayo imeeonekana kuweza kulima/kustawisha zao hilo: DODOMA, SINGIDA, KILIMANJARO, na TABORA.
 
Mn
5000 hakuna boss
Ilikuwa 3859
Sehemu zingine 3875
Ila siyo mbaya


Mnada wa kwanza bei ya juu ilikuwa ni TZS 3,860/- !!! Na inaweza panda kwani mahitaji ni makubwa !! Kiichojitokeza ni uhaba wa mavuno kwa msimu huu. Kitika mnada wa mojawapo ya wilaya makampuni 22 yalikosa Korosho ikiwa ni karibu nusu ya makampuni yaliyosajiliwa msimu huu kwa ajili ya ununuzi na uuzaji Korosho nje ambayo ni 44!
 
Hongera kwa kuuza bei kubwa nje na ya mnadani. Hongera kwa kupata mteja wa zaidi ya 4500. Huko unakosema tandahimba ijumaa wamepiga mnada ambao ni wa pili bei ni 3980.

Sijui unaongelea tandahimba ya nchi gani. By the way mm niko sehemu ya tukio. Naona wengine muko mitandaoni kwa ajili ya kuleta ubishi ili muonekane wakati uko unakokusema wewe ata hupajui.

Kweli nimeamini people are not the same aisee.
Mkuu na gharama za matunzo mpaka zianze kuzaa zimesimamaje? Nina shamba mkuranga kubwa ipo mikorosho ya asili kipindi hiki imefunga Sana yaani imejaza sana, nimewaachia vijana maana Mimi sijui wapi pa kuanzia ila Kwa uzi huu macho yangu yamefunguka.
 
Mkuu na gharama za matunzo mpaka zianze kuzaa zimesimamaje? Nina shamba mkuranga kubwa ipo mikorosho ya asili kipindi hiki imefunga Sana yaani imejaza sana,nimewaachia vijana maana Mimi sijui wapi pa kuanzia ila Kwa uzi huu macho yangu yamefunguka

Daah mkuu hiyo ni dhahabu kuwa jirani na shamba lako
Utakula bata tu watu wanapiga ela si mchezo
Kuhusu gharama inategemea na ukubwa wa shamba lako

Maana kuna gharama za kupiga dawa
Gharama za kulimia/kusafisha shamba
Ila siyo kubwa kivile
Hii ukubwa wa shamba lako utakupa gharama halisi mkuu

Mkuu kwenye korosho kuna ela Fanya mambo kwenye hilo shamba maana Huduma zikiwa nzuri ndo miti inatema sana. Na huu ndo msimu wa mavuno mkuu unaenda mpaka December/January inategemeana sehemu kama korosho ziliwahi au kuchelewa.

Kila lakheri mkuu
 
Mn



Mnada wa kwanza bei ya juu ilikuwa ni TZS 3,860/- !!! Na inaweza panda kwani mahitaji ni makubwa !! Kiichojitokeza ni uhaba wa mavuno kwa msimu huu !! Kitika mnada wa mojawapo ya wilaya makampuni 22 yalikosa Korosho ikiwa ni karibu nusu ya makampuni yaliyosajiliwa msimu huu kwa ajili ya ununuzi na uuzaji Korosho nje ambayo ni 44 !!
Exactly
Wewe kweli upo sehemu ya tukio ata kama umeambiwa basi aliyekwambia yuko sahihi ila siyo huyo mwingine kaja na picha za kutumiwa whatsarp akidai ana shamba yuko kwenye mavuno na lipo tandahimba na anadai bei ni zaidi ya 4500, kumbe analimia whatsapp ata tandahimba penyewe hakujui ata minada pia haelewi, sasa hii ni mbaya sana kupotosha watu.
Usilete siasa kwenye maisha

Beef lasagna karibu kusini
 
Mn



Mnada wa kwanza bei ya juu ilikuwa ni TZS 3,860/- !!! Na inaweza panda kwani mahitaji ni makubwa !! Kiichojitokeza ni uhaba wa mavuno kwa msimu huu !! Kitika mnada wa mojawapo ya wilaya makampuni 22 yalikosa Korosho ikiwa ni karibu nusu ya makampuni yaliyosajiliwa msimu huu kwa ajili ya ununuzi na uuzaji Korosho nje ambayo ni 44 !!

Kwa ruangwa ilikuwa 3875 huo wa kwanza
Ila Tandahimba ilikuwa 3860
Wa pili 3980 Tandahimba/masasi/Newala
Wa pili 3940 Ruangwa/Nachingwea/Liwale
Ngoma inapanda ndogo ndogo mkuu
 
Naskia kuna wengine wananunua kidogo kidogo wanakusanya hadi ziwe nyingi afu wanaziuza tena. Sasa hapa ndio sijaelewa

Unakusanya afu ukiuza tena utamuuzia nani? Kuna faida gn pale?
 
Koroshi zimedoda!!
Huyu hajui alichokiandika. Jumapili ya juzi mnada wilayani Liwale. Nachingwea na Ruangwa kilo sh 3, 940/- sasa huyu sijui anaongea nini. We kaa na negativity zako watu wanapiga hela kwenye korosho.
 
Nina uhakika kuna vitu hujavielewa kuhusu mnada na ata kuelewa nini maana ya mnada ,ndo maana unauliza mnada tandahimba unapigwa sehemu moja? Ungejua chochote kuhusu minada ili swali lisingekuwepo tehtehteh. Nina uhakika hujui unachokibishia pia
Pole sana!
Tena hajui lolote kuhusu mnada. Hajui kuwa mnada unajumuisha hata wilaya kadhaa! Anadhani kila kijiji kinapiga mnada. Msamehe!
 
Kwa kuongezea na mikoa ya Morogoro,Tanga,na Kilimanjaro pia mwaka huu Serikali ilipeleka mbegu. Ni mikoa ambayo watafiti wamesema inafaa kwa korosho
Njia ya Muheza Pangani tulianza kulima kitambo
 
Tena hajui lolote kuhusu mnada. Hajui kuwa mnada unajumuisha hata wilaya kadhaa! Anadhani kila kijiji kinapiga mnada. Msamehe!

Hahaaha kweli bora amsamehee naona kakimbia kabisaa. Dah! Nimecheka saaana, anabishana na watu ambao wanashinda vijijini hata kupata 4G ni Issue!
 
Nina uhakika kuna vitu hujavielewa kuhusu mnada na ata kuelewa nini maana ya mnada ,ndo maana unauliza mnada tandahimba unapigwa sehemu moja? Ungejua chochote kuhusu minada ili swali lisingekuwepo tehtehteh
Nina uhakika hujui unachokibishia pia
Pole sana!

Safiii saana umempa za uso, aina ya watu kama hao wapo wengi saana mtandaoni, wengine ndo haoo wanasema "ZIMEDODA" hahaa hajui watu wanapiga pesa tu.
 
Back
Top Bottom