Fahamu mashirika ya ujasusi yenye uwezo mkubwa duniani

Fahamu mashirika ya ujasusi yenye uwezo mkubwa duniani

Shirika la kijasusi la TISS ni la ngapi Duniani?
Wao waendelee na kazi yao ya "kumtukuza Sponsa" wao pamoja na kuendeleza propaganda potofu ya kukubalika kwa Chama chake, kuteka na kuwaangamiza wakosoaji wake na kujadili habari za Yanga na Simba. Hiki ndicho wanachoweza.
Haya mambo ya Ujasusi wawaachie wenyewe wenye akili kubwa kama CIA, Missad na wengineo.
 
Wao waendelee na kazi yao ya "kumtukuza Sponsa" wao pamoja na kuendeleza propaganda potofu ya kukubalika kwa Chama chake, kuteka na kuwaangamiza wakosoaji wake na kujadili habari za Yanga na Simba. Hiki ndicho wanachoweza.
Haya mambo ya Ujasusi wawaachie wenyewe wenye akili kubwa kama CIA, Missad na wengineo.
Naunga mkono hoja
 
Kujisifu tu. Mossad na hao ISI hawawezi kuwa mbele ya GRU ya mnyama dubu Putin. Na hili limejidhihirisha kwa kiwango cha juu kabisa kwenye mgogoro unaoendelea huko Ukraine.
Naamini kwa kiwango cha juu kabisa mashirika yote ya ujasusi ya west na marekani walikubaliana kwa 100% kwamba vikwazo ndio vitaimalza Russia na Putin. Kinyume chake ni wao ndio wanatembelea choke.
GRU walimhakikishia Putin kwamba vikwazo havitafua dafu. Na ndio kilichoyokea.
 
Kujisifu tu. Mossad na hao ISI hawawezi kuwa mbele ya GRU ya mnyama dubu Putin. Na hili limejidhihirisha kwa kiwango cha juu kabisa kwenye mgogoro unaoendelea huko Ukraine.
Naamini kwa kiwango cha juu kabisa mashirika yote ya ujasusi ya west na marekani walikubaliana kwa 100% kwamba vikwazo ndio vitaimalza Russia na Putin. Kinyume chake ni wao ndio wanatembelea choke.
GRU walimhakikishia Putin kwamba vikwazo havitafua dafu. Na ndio kilichoyokea.

Ni wapi na lini kuwa west na america walikubali russian GRU ni bora?

Unachanganga military intelligence na foreign intelligence services
 
Back
Top Bottom