Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
- Thread starter
- #101
DIALECT OF GODS
"Lugha ya miungu"
🤜SEHEMU 02: ki-nuwaupiki
Mara ya mwisho tuliona namna DHANA YA SAPIR-WHORF ilivyojaribu kuelezea namna ambavyo utofauti wa lugha Unavyoathiri ufahamu wa Watumiaji wa lugha hizo, Dhana hiyo hueleza kwamba, ”The particular language one speaks influences the way one thinks about reality". Ikiwa na maana kwamba, Lugha aizungumzayo mtu Huathiri namna ya kufikri kwa mtu huyo kuhusu uhalisia .
Na sio hivyo tu, pia sauti za matamshi ya lugha Mbalimbali zina tone na mitetemo tofauti, na uzungumzaji wa lugha ni sawa na mziki, Kuongea ni kuimba ,na matamshi ndio wimbo wenyewe. Ndo Maana katika dini Nyingi hupendekeza waumini wao kuimbia nyimbo miungu yao, sababu kuu iliyo nyuma ya pazia ni kuwezesha kuinua mitetemo ya miili yao, hivyo kuwafanya Wajihisi kuwa na uwepo wa mungu, la hasha huo sio uwepo wa Mungu bali ni matokeo ya kupandisha mitetemo ya mwimbaji anayetumia lugha kuimba,kusifu na kuiabudu miungu yake.
INAENDELEA...
Lugha za sasa ni zao la lugha ya awali zaidi kuzungumzwa duniani, data zote za kiakiolojia zinaonesha kwamba jamii ya kwanza ya mwanadamu iliishi afrika (- na kisha kusambaa ulimwengu kote miaka mingi kabla hata ya biashara ya utumwa ambayo ni historia pekee mtu mweupe ameijaza kwa mtu mweusi na kuiacha historia yenye ukuu wa mtu mweusi ikipotea-), Na Kwa mantiki hiyo ni wazi kwamba lugha hiyo ya kwanza ilikuwa ya watu weusi na ilizungumzwa na watu weusi.
Officially, lugha ya awali zaidi kutumika kwa mawasiliano kwa sasa hutambulika kama HIEROGLYPHS au CUNEIFORM katika lugha ya kingereza, lakini Waswahili huiita MWANDIKO WA KIKABARI, hiyo yote ni kwa sababu iliandikwa katika vibao vya udongo wa mfinyanzi, kwenye Mapango hata kwenye piramidi maarufu za misri, maandishi hayo ya kikabari/Hieroglyphs/cuneiform pia yapo.
Mwandiko wa kikabali ni mfumo wa uandishi wa lugha kongwe zaidi duniani iliyotumika tangu enzi za misri ya kale na Mesopotamia. Kuwa makini hapo, kuna muingiliano mkubwa wa kitamaduni kati ya misri ya kale na sumeria/ Mesopotamia, baada ya miungu (Anunnaki) Kujenga ustaarabu sumeria (-ambayo ni Iraq ya sasa-) Kwa sababu za kisiasa na madaraka, miungu Walianza kutawanyika sehemu Mbalimbali, kama misri na kuendeleza Ustaarabu(Civilization) na utawala kwa jamii za wanadamu hivyo kupelekea sehemu hizo kuwa na mwingiliano hata katika lugha pia, na ndio maana Mwandiko wa kikabari hutambuliwa kama lugha ya misri ya kale na Sumeria.
Kwa kuwa Sumeria ni ustaarabu wa kale zaidi, Maandiko ya kikabari yaliandikwa Kwenye vibao vya udongo laini kwa kubonyeza vijiti na kutengeneza alama tatu zenye kona, na kuziunganisha alama hizo kuwakilisha neno fulani. Wataalamu wa sasa wamegawanya maandiko hayo katika makundi mawili ambayo ni Hieroglyphs na cuneiform, Hivyo basi, cuneiform ni alama zenye pembe tatu zilizoandikwa kwenye kibao cha udongo lakini Hieroglyphs imetokana na neno "hiero" linalomaanisha takatifu/sacred na neno "glyph" linamaanisha kuchonga/carving, hivyo basi Hieroglyphs ni picha zinazosimama badala ya maneno, ie. picha ya nyumba(one dimensional) husimama badala ya neno nyumba n.k
Baada ya miungu, Anunnaki kuondoka juu ya uso wa dunia,zilipita tawala mbalimbali mpaka kufikia nyakati za Utawala wa Rumi, hivyo lugha yetu ya kwanza kutumika duniani ilitambuliwa kwa majina tofauti kutokana na utawala na nyakati husika. Ilitambulika kama lugha ya kinubiki(Nubic language), kisabaiki(sabaic language) , ki-nuwaupiki (Nuwaupic language) e.t.c ambapo kinubiki kilitumika maeneo ya Sudan na misri, kisabaiki kilitumika maeneo ya kushi(Ethiopia ya kale) ambapo ilimaanisha pande zote mbili za bahari nyekundu (Mediterranean sea) ambayo ni Afrika kaskazi-mashariki na Arabia ya kale( mpak maeneo ya Yemen ya sasa).
Arabia ya kale ilikua ni sehemu ya kushi na wakazi wake walikuwa ni watu weusi pia, baadaye Arabia ilikuja kutambulika kama sheba( na hapo ndipo tunapopata visa vya mfalme Sulemani na malkia wa Sheba katika vitabu vyenu vya dini, Biblia na kuran), pia sheba iliitwa Saba, sabean, sabaic na Napatani, Na Lugha iliyotumika ndo Ilikuwa kisabaiki ( sabaic dialect).
Na kwa nyakati nyingine, wamisri wa kale waliitambua Lugha hiyo kama Medu neter
Lugha ya ki-nuwaupiki ni lugha ile ile iliyotumika tangu wakati wa miungu, demigods, misri ya kale, pamoja na kushi, na hiyo ndio lugha yetu watu weusi, ndio lugha Ya kiungu, tuzungumzapo hutuletea muunganiko na ukiroho, lakini Reptilia hawataki kabisa watu weusi tuijue lugha yetu na wakidai lugha hiyo haipo tena imekwisha potea, wanaogopa watashindwa kuthibiti ufahamu wetu wa ndani hivyo kupelekea ugumu kututawala, hilo unaweza kujionea namna serikali inavyohangaika kuongoza sehemu ambazo zina watu wa kabila moja watumiao kilugha kuwasiliana . Na ukipata maarifa zaidi utagundua kuwa Majina ya cuneiform na Hieroglyphs hutumika kuficha lugha yetu ya awali, ki-nuwaupiki/kisabaiki/kinubiki/kinapatani au Medu neter
Jina Nuwaupiki limetokana na kundi la United of Nuwaubic nation (-likiwa chini ya Malach Z. Yolk-), kundi hilo lilitambulika kwa majina tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti, ni kundi la watu weusi wa Marekani (Black Supremacist) waliothubutu kwa kiwango kikubwa kupingana na utawala wa Reptilia wabaya kwa kuufunua ukweli juu ya mambo yote na kuteketeza uongo wote uliopandikiza na Reptilia, uongo uliofunga fikra za watu weusi na kuwapotezea Uungu wao.
Bw. Malach z yolk, katika kitengo/department ya elimu amethubutu kuwafundisha watu lugha yetu asili kutoka kwa miungu, na kwa nyakati zetu za sasa hutambulika kama lugha ya ki-nuwaupiki/NUWAUPIC LANGUAGE .
Kwa bahati mbaya, Lugha hii haitambuliki na serikali za dunia, haijapitishwa kuwa rasmi kama lugha iliyotumika na wamisri wa kale, na ukizama ndani zaidi utagundua kuwa Majina ya cuneiform na Hieroglyphs hutumika kuficha lugha yetu ya awali, ki-nuwaupiki/kisabaiki/kinubiki/kinapatani.
Ni muhimu kwa watu weusi kutumia lugha yao asilia ili kupata muunganiko wa kiroho, kwa sababu mtu mweusi Ana sauti halisi yenye tone ya kweli na yakipekee, tofauti na jamii zingine za wanadamu ambao huzungumza kutokea kooni kwenda mwenye pua bali mtu mweusi huzungumza kutokea kifuani(-kwenye Diaphragm) kuelekea kooni, na hiyo ni mojawapo ya sababu ya kuwa watu wenye roho (soul people)
Dogoli kinyamkela from Serpent bloodline was here, next time tutaenda kuona kwa namna gani Lugha Zingine (-lugha kama Sanskrit, kiarabu,kijapani,kichina, kibantu-) zilivyotokana na lugha kongwe zaidi duniani, lugha ya mwandiko wa kikabari/cuneiform & Hieroglyphs. Na uhusiano uliopo kati ya maneno matakatifu kama mantra,Enns na lugha za cuneiform na Hieroglyphs.
ITAENDELEA...
Dogoli kinyamkela
always Dogoli kinyamkela 😊. @highlight
"Lugha ya miungu"
🤜SEHEMU 02: ki-nuwaupiki
Mara ya mwisho tuliona namna DHANA YA SAPIR-WHORF ilivyojaribu kuelezea namna ambavyo utofauti wa lugha Unavyoathiri ufahamu wa Watumiaji wa lugha hizo, Dhana hiyo hueleza kwamba, ”The particular language one speaks influences the way one thinks about reality". Ikiwa na maana kwamba, Lugha aizungumzayo mtu Huathiri namna ya kufikri kwa mtu huyo kuhusu uhalisia .
Na sio hivyo tu, pia sauti za matamshi ya lugha Mbalimbali zina tone na mitetemo tofauti, na uzungumzaji wa lugha ni sawa na mziki, Kuongea ni kuimba ,na matamshi ndio wimbo wenyewe. Ndo Maana katika dini Nyingi hupendekeza waumini wao kuimbia nyimbo miungu yao, sababu kuu iliyo nyuma ya pazia ni kuwezesha kuinua mitetemo ya miili yao, hivyo kuwafanya Wajihisi kuwa na uwepo wa mungu, la hasha huo sio uwepo wa Mungu bali ni matokeo ya kupandisha mitetemo ya mwimbaji anayetumia lugha kuimba,kusifu na kuiabudu miungu yake.
INAENDELEA...
Lugha za sasa ni zao la lugha ya awali zaidi kuzungumzwa duniani, data zote za kiakiolojia zinaonesha kwamba jamii ya kwanza ya mwanadamu iliishi afrika (- na kisha kusambaa ulimwengu kote miaka mingi kabla hata ya biashara ya utumwa ambayo ni historia pekee mtu mweupe ameijaza kwa mtu mweusi na kuiacha historia yenye ukuu wa mtu mweusi ikipotea-), Na Kwa mantiki hiyo ni wazi kwamba lugha hiyo ya kwanza ilikuwa ya watu weusi na ilizungumzwa na watu weusi.
Officially, lugha ya awali zaidi kutumika kwa mawasiliano kwa sasa hutambulika kama HIEROGLYPHS au CUNEIFORM katika lugha ya kingereza, lakini Waswahili huiita MWANDIKO WA KIKABARI, hiyo yote ni kwa sababu iliandikwa katika vibao vya udongo wa mfinyanzi, kwenye Mapango hata kwenye piramidi maarufu za misri, maandishi hayo ya kikabari/Hieroglyphs/cuneiform pia yapo.
Mwandiko wa kikabali ni mfumo wa uandishi wa lugha kongwe zaidi duniani iliyotumika tangu enzi za misri ya kale na Mesopotamia. Kuwa makini hapo, kuna muingiliano mkubwa wa kitamaduni kati ya misri ya kale na sumeria/ Mesopotamia, baada ya miungu (Anunnaki) Kujenga ustaarabu sumeria (-ambayo ni Iraq ya sasa-) Kwa sababu za kisiasa na madaraka, miungu Walianza kutawanyika sehemu Mbalimbali, kama misri na kuendeleza Ustaarabu(Civilization) na utawala kwa jamii za wanadamu hivyo kupelekea sehemu hizo kuwa na mwingiliano hata katika lugha pia, na ndio maana Mwandiko wa kikabari hutambuliwa kama lugha ya misri ya kale na Sumeria.
Kwa kuwa Sumeria ni ustaarabu wa kale zaidi, Maandiko ya kikabari yaliandikwa Kwenye vibao vya udongo laini kwa kubonyeza vijiti na kutengeneza alama tatu zenye kona, na kuziunganisha alama hizo kuwakilisha neno fulani. Wataalamu wa sasa wamegawanya maandiko hayo katika makundi mawili ambayo ni Hieroglyphs na cuneiform, Hivyo basi, cuneiform ni alama zenye pembe tatu zilizoandikwa kwenye kibao cha udongo lakini Hieroglyphs imetokana na neno "hiero" linalomaanisha takatifu/sacred na neno "glyph" linamaanisha kuchonga/carving, hivyo basi Hieroglyphs ni picha zinazosimama badala ya maneno, ie. picha ya nyumba(one dimensional) husimama badala ya neno nyumba n.k
Baada ya miungu, Anunnaki kuondoka juu ya uso wa dunia,zilipita tawala mbalimbali mpaka kufikia nyakati za Utawala wa Rumi, hivyo lugha yetu ya kwanza kutumika duniani ilitambuliwa kwa majina tofauti kutokana na utawala na nyakati husika. Ilitambulika kama lugha ya kinubiki(Nubic language), kisabaiki(sabaic language) , ki-nuwaupiki (Nuwaupic language) e.t.c ambapo kinubiki kilitumika maeneo ya Sudan na misri, kisabaiki kilitumika maeneo ya kushi(Ethiopia ya kale) ambapo ilimaanisha pande zote mbili za bahari nyekundu (Mediterranean sea) ambayo ni Afrika kaskazi-mashariki na Arabia ya kale( mpak maeneo ya Yemen ya sasa).
Arabia ya kale ilikua ni sehemu ya kushi na wakazi wake walikuwa ni watu weusi pia, baadaye Arabia ilikuja kutambulika kama sheba( na hapo ndipo tunapopata visa vya mfalme Sulemani na malkia wa Sheba katika vitabu vyenu vya dini, Biblia na kuran), pia sheba iliitwa Saba, sabean, sabaic na Napatani, Na Lugha iliyotumika ndo Ilikuwa kisabaiki ( sabaic dialect).
Na kwa nyakati nyingine, wamisri wa kale waliitambua Lugha hiyo kama Medu neter
Lugha ya ki-nuwaupiki ni lugha ile ile iliyotumika tangu wakati wa miungu, demigods, misri ya kale, pamoja na kushi, na hiyo ndio lugha yetu watu weusi, ndio lugha Ya kiungu, tuzungumzapo hutuletea muunganiko na ukiroho, lakini Reptilia hawataki kabisa watu weusi tuijue lugha yetu na wakidai lugha hiyo haipo tena imekwisha potea, wanaogopa watashindwa kuthibiti ufahamu wetu wa ndani hivyo kupelekea ugumu kututawala, hilo unaweza kujionea namna serikali inavyohangaika kuongoza sehemu ambazo zina watu wa kabila moja watumiao kilugha kuwasiliana . Na ukipata maarifa zaidi utagundua kuwa Majina ya cuneiform na Hieroglyphs hutumika kuficha lugha yetu ya awali, ki-nuwaupiki/kisabaiki/kinubiki/kinapatani au Medu neter
Jina Nuwaupiki limetokana na kundi la United of Nuwaubic nation (-likiwa chini ya Malach Z. Yolk-), kundi hilo lilitambulika kwa majina tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti, ni kundi la watu weusi wa Marekani (Black Supremacist) waliothubutu kwa kiwango kikubwa kupingana na utawala wa Reptilia wabaya kwa kuufunua ukweli juu ya mambo yote na kuteketeza uongo wote uliopandikiza na Reptilia, uongo uliofunga fikra za watu weusi na kuwapotezea Uungu wao.
Bw. Malach z yolk, katika kitengo/department ya elimu amethubutu kuwafundisha watu lugha yetu asili kutoka kwa miungu, na kwa nyakati zetu za sasa hutambulika kama lugha ya ki-nuwaupiki/NUWAUPIC LANGUAGE .
Kwa bahati mbaya, Lugha hii haitambuliki na serikali za dunia, haijapitishwa kuwa rasmi kama lugha iliyotumika na wamisri wa kale, na ukizama ndani zaidi utagundua kuwa Majina ya cuneiform na Hieroglyphs hutumika kuficha lugha yetu ya awali, ki-nuwaupiki/kisabaiki/kinubiki/kinapatani.
Ni muhimu kwa watu weusi kutumia lugha yao asilia ili kupata muunganiko wa kiroho, kwa sababu mtu mweusi Ana sauti halisi yenye tone ya kweli na yakipekee, tofauti na jamii zingine za wanadamu ambao huzungumza kutokea kooni kwenda mwenye pua bali mtu mweusi huzungumza kutokea kifuani(-kwenye Diaphragm) kuelekea kooni, na hiyo ni mojawapo ya sababu ya kuwa watu wenye roho (soul people)
Dogoli kinyamkela from Serpent bloodline was here, next time tutaenda kuona kwa namna gani Lugha Zingine (-lugha kama Sanskrit, kiarabu,kijapani,kichina, kibantu-) zilivyotokana na lugha kongwe zaidi duniani, lugha ya mwandiko wa kikabari/cuneiform & Hieroglyphs. Na uhusiano uliopo kati ya maneno matakatifu kama mantra,Enns na lugha za cuneiform na Hieroglyphs.
ITAENDELEA...
Dogoli kinyamkela