Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Fahamu mbinu mbalimbali unazoweza kuzitumia ili kunenepa au kuongeza uzito wa mwili (Kilo)

Vp wazazi nao ni wembamba au!? Pia kumbuka USIUTAFUTE UNENE just live ur normal life mwili utakuja tu wenyewe.

Kuna baadhi ya watu huwa wananenepa kuanzia 30s au wengine baada ya KUJIFUNGUA au kuolewa..so usijare mpendwa..me mwenyewe napenda vimodo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Piga mayai matatu ya kukaanga na maziwa asubui..mchana kula ugali na nyama,jioni chipsi mayai na soda mirinda au soda yoyote yenye sukari,usiku kula wali nyama au wali samaki,kesho amkia kipolo cha wali asubui na silesi tatu za mkate zenye blueband,mchana piga nyama robo na soda yenye sukari,jioni kunywa chai yenye sukar na usiku kula wali na nyama nyingi..yaan usicheze mbali na sukari,carbohydrate especially mkate,na protein yaan nyama na samaki...ndani ya miezi mitatu utanipa majib then tumia muda mwingi kupumzika ..NB..ni gharama sana kutafuta mwili mnene jipange
Mkuu hata miezi mitatu haifiki matokeo ni wiki mbili tuu atakuambia jinsi atakavyoweza kuona tofauti
 
Seriouly usimeze midawa yeyote ile. Utaja jiharibu bure. Mimi on my late teens nlikuwa hvyo hvyo kama unavyomuona kagame i had the same body make ila sasa hivi hata ukiniambia kitambi cha kishkaj nimekipata pata vp sijui hata.

Urefu i’m 6.0 feet, i have really gained a body but im NOT obese (sio manyama uzembe). I think just have a good meal (usile vitu vya kukaanga kama ni nyama pendelea mchemsho or grilled meat) plus avoid anything that makes u unhappy lazima utaongezeka tu.

Kikubwa make sure u have a good pockect money for the little good things life has to offer having a good life doesn’t necessarily mean umiliki billions.
 
Vp wazazi nao ni wembamba au!? Pia kumbuka USIUTAFUTE UNENE just live ur normal life mwili utakuja tu wenyewe.

Kuna baadhi ya watu huwa wananenepa kuanzia 30s au wengine baada ya KUJIFUNGUA au kuolewa..so usijare mpendwa..me mwenyewe napenda vimodo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazazi wana miili yao mikubwa tuu!

Sijui ni kwamba walikua hawanilishi vzr wanakula wao tuu...

Unapenda? Ngoja tuyajenge lool
 
Eee Mungu wengine tunataka tupungue,,we wataka unene,,asee usokuwa nacho ndio wakitamani
 
Back
Top Bottom