Ugiligili
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 3,023
- 4,055
Vp wazazi nao ni wembamba au!? Pia kumbuka USIUTAFUTE UNENE just live ur normal life mwili utakuja tu wenyewe.
Kuna baadhi ya watu huwa wananenepa kuanzia 30s au wengine baada ya KUJIFUNGUA au kuolewa..so usijare mpendwa..me mwenyewe napenda vimodo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna baadhi ya watu huwa wananenepa kuanzia 30s au wengine baada ya KUJIFUNGUA au kuolewa..so usijare mpendwa..me mwenyewe napenda vimodo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]