Utaanza kua konda kwanza then ukaache oda ya mayai sita kwa muuza chipsSuree?? Ngoja nianze kujaribu hiyo
Mkuu hata miezi mitatu haifiki matokeo ni wiki mbili tuu atakuambia jinsi atakavyoweza kuona tofautiPiga mayai matatu ya kukaanga na maziwa asubui..mchana kula ugali na nyama,jioni chipsi mayai na soda mirinda au soda yoyote yenye sukari,usiku kula wali nyama au wali samaki,kesho amkia kipolo cha wali asubui na silesi tatu za mkate zenye blueband,mchana piga nyama robo na soda yenye sukari,jioni kunywa chai yenye sukar na usiku kula wali na nyama nyingi..yaan usicheze mbali na sukari,carbohydrate especially mkate,na protein yaan nyama na samaki...ndani ya miezi mitatu utanipa majib then tumia muda mwingi kupumzika ..NB..ni gharama sana kutafuta mwili mnene jipange
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu analake jambo eeeeh!Wee kaka unaonekana mkorofi khaa! Mbona wengine wametoa ushauri na hawajaomba picha?
Kwa kweliKG 40 kwa miaka 24 sio sawa japo sijajua na kimo chake.
Wazazi wana miili yao mikubwa tuu!Vp wazazi nao ni wembamba au!? Pia kumbuka USIUTAFUTE UNENE just live ur normal life mwili utakuja tu wenyewe.
Kuna baadhi ya watu huwa wananenepa kuanzia 30s au wengine baada ya KUJIFUNGUA au kuolewa..so usijare mpendwa..me mwenyewe napenda vimodo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo hivyo! Ila sitaki uzito km wakoDaaa mimi nataka kupunguza uzito watu wanautaka uzito kweli tupo tofauti
Mmmh! SiipendiiMm nikitaka kuboost mwili natumia pinetbutter(siagi za karanga) kwa kila mlo yan had kwenye chapat napakaga ....miez miwili shavu dodo
Ngoja nianze na hiyoTumia peanut butter na a whey protein supplement
Unasemaje?Kimbau mbau!!!!!
Hahahah! Wee nae khaa!Utaanza kua konda kwanza then ukaache oda ya mayai sita kwa muuza chips
Daah naanza kuweka oda jumatatu!Mkuu hata miezi mitatu haifiki matokeo ni wiki mbili tuu atakuambia jinsi atakavyoweza kuona tofauti
Kuna kitu anakitaka aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu analake jambo eeeeh!