Natumia mkuu.Kama imani yako inaruhusu jaribu kupata Kitimoto angalau Mara mbili kwa wiki, majibu utayapata baada ya mwezi mmoja tu.
Njoo chugga wiki tuu afu urudi kwenu utajishangaa!Mkuu we hufai kabisa, naomba nyama choma unanipa kaa la moto.
Duuuh! Basi jitahidi upate uji wa lishe uwe unachanganya na maziwa fresh kila siku jioni, nazani hii nayo inaweza kukusaidia.Natumia mkuu.
Nikizua miezi sita niwekwe jela or 200k sio, picha ni hiyo hiyo ya mtu mwembamba sana mkuuPichaaaaa
acha NYETOHabarini, wajuzi wanipe tricks za kuwa mnene, me ni me yani ni mwembamba hata upepo huwa unipa kashKash mda mwingine. [emoji23]Nipewe ushauri nile vyakula niweze kunenepa kweli nife ni mwili huu haitapendeza nataka nijue ukiwa mnene inakuwaje..