Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Vidonge?!!!
Never on earth..sina wembamba huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vidonge?!!!
MazoeaNini maana ya kuchanganya kiswahili na kiingereza?
Sent from my iPhone using JamiiForums
HahahaJizazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ningecheka Mimi walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah sio rahisi kihivyo. Naona hujakutana na wembamba waliokaukaDuh wengine tunahangaika kupunguza unene weweunautafuta,
Kula sukari, nyama, ngano kwa wingi sana. Usifanye physica activities hata kama ni kutembea tu hakika utaleta mrejesho. Ila nirahisi sana kuongeza unene kuliko kuuondoa
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂 nimekunywa hadi soup ya konokono lakini hali bado ngumu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vidonge?!!!
Never on earth..sina wembamba huo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekunywa hadi soup ya konokono lakini hali bado ngumu..
Mkuu amini kwa baadhi ya watu ni ngumu sana kuongeza mwiliDuh wengine tunahangaika kupunguza unene weweunautafuta,
Kula sukari, nyama, ngano kwa wingi sana. Usifanye physica activities hata kama ni kutembea tu hakika utaleta mrejesho. Ila nirahisi sana kuongeza unene kuliko kuuondoa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saint Anne njoo utoe siri ya kiuno size 1 maana kuna mtu anapata tabu sana [emoji23]
AsanteHilo tu umeshapata.. kuna kingine miss [emoji4]
Hata Mimi siwezi..Bora waninyongePtuuuu
Bora nibaki na mifupa yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
HeeDawa ikipatikana mnishtue jamani
Hata mimi ningecheka.Hahaha
Watu wembamba kwa roho mbaya tu!! Wale watu wazima walinicheka kidogo tu kisha story ikasahaulika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂😂 Konokono mwenyewe alivyo vile. .afu usiombe ukamganyaga, ana mlio wake hivi kichefu chefu siku nzimaHata Mimi siwezi..Bora waninyonge
Nilivyoanza kuona konokono tu nikaishia hapo kusoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikimuona tu nachefukwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Konokono mwenyewe alivyo vile. .afu usiombe ukamganyaga, ana mlio wake hivi kichefu chefu siku nzima
Si mnene wala si mwembamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kumbe mimi mnene eeehhh