Kwa mwenye kujua wapi nitapata dawa ya kuongeza unene wa mwili naomba tuwasiliane.
Piga gym supplement na mass gainers,
Hautakuwa mnene ila utakuwa na mwili at the right size na mwenye afya nzuri. Unene ni burden kubwa na una risk kubwa ya kupata magonjwa kama non insulin dependent diabetes mellitus, atherosclerosis, heart failure stroke n.k

