Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Waone forever living products. Nadhani watakufaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unapatikana wapi
distributor are you serious...natamani sana kuwa mnene nitakucheki
wacha uichaguzi ukija tena 2020 ntaenda chukua id ingine.Badikisha ID yako utanenepa
Ni discipline tu, panga vyakula na tembea kwa lisaa limoja kila siku, itakuchukua muda mrefu lakini utafika.Subiri utanenepa muda ukifika. Wala usiutamani.
Na ukija usije ukalia ukasema unataka kukonda.
Me kabla sijaolewa nilikuwa na kg around 48 to 50. Saivi ninakaribia kg 80. Kupunguza kg 1 tu ishu. Natamani nifike walau 60 kg lkn meshindwa. [emoji26]
Mmhu. Nataka yotee hayo. Lkn mekuwa mziitoooo. Kama nimerogwa.Ni discipline tu, panga vyakula na tembea kwa lisaa limoja kila siku, itakuchukua muda mrefu lakini utafika.
Ukimaliza kufunga Ramadhani endelea na discipline ile inangawa unarelax kidogo, nimegundua mfungo ni mwanzo mzuri wa kukontrol kula kula.Mmhu. Nataka yotee hayo. Lkn mekuwa mziitoooo. Kama nimerogwa.
Hk kula sasa. Nikiona kula kama sijawahi kuona chakula.
Naona mwisho ntakimbiwa. Mana bwana akiingia, akitoka ananisimbulia tyu.
[emoji30] [emoji30] [emoji30]
sinaUnapesa?
Case closed!!sina